Ni muda wa kuwasikiliza Yamoto Band kwenye single yao mpya….-‘Mama’ (+Audio)
Watoto kutoka kwenye familia ya Mkubwa na Wanawe TMK time hii wametusogezea single yao mpya iitwayo Mama wamemshirikisha Zena. Nakukaribisha kwenye link hii mtu wangu, unaweza kuisikiliza kwenye link ya Mkito >>> Mama Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Ni muda wa kuwasikiliza Yamoto Band kwenye single yao mpya….-‘Mama’ (+Audio) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Yamoto Band kufunga mwaka na wimbo mpya ‘Mama’
Kundi la muziki linalofanya vizuri na wimbo wake Cheza Kimadoido, Yamoto Band wanajipanga kufunga mwaka na wimbo wao mpya uitwao Mama.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni meneja wa Yamoto Band, Said Fella alisema kabla wasanii hao hawajasafiri kuelekea nchini Marekani kwaajili ya show tatu, wataachia wimbo mpya utakaofunga mwaka.
“Tarehe 25 mwezi huu watasafiri kuelekea Marekani kwaajili show. Tarehe 27 watafanya show ya kwanza, watafanya tena Houston halafu watamalizia Washington DC,”...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Godzilla anayo furaha kukualika kusikiliza hii single yake mpya…-‘I get high’ (+Audio)
Dec 15 2015 msanii Golden Mbunda a.k.a Godzilla anayefanya poa katika miondoko ya Hip Hop hapa nchini amekuja na hii zawadi ya funga mwaka aliyoipa jina la I get high iliyotengenezwa chini ya mikono ya Producer Pancho Latino. Ukitaka kuipata kwa urahisi ngoma hii unaweza kubonyeza kwenye link hii hapa>>bit.ly/iGetHigh Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […]
The post Godzilla anayo furaha kukualika kusikiliza hii single yake mpya…-‘I get high’ (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Michuzi07 Apr
YAMOTO BAND WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM BUKOBA TAYARI KWA SHOW YAO USIKU HUU NDANI YA LINA'S CLUB
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Yamoto Band wazindua video yao kwa bonge la show Maisha Club, hizi ni picha za show nzima
Usiku wa Kuamkia leo Yamoto Band ambao wanafanya vizuri sana katika anga la Muziki kwa sasa, wamepiga Bonge la show ndani ya New Maisha Club wakiwa wanazindua Video ya wimbo wao Mpya “Niseme nisiseme” video ambayo imefanywa na Pabro kutoka kampuni ya D360,
Raymond Msanii kutoka Tiptop Connection nae alikuwepo kutoa sapoti kwa Yamoto Band.
10 years ago
MichuziYAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka Zurii...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
YAMOTO BAND: Kupiga show kwenye Tanzania Night @ 54 ndani ya Washington DMV, Desemba 5!!
** KIINGILIO**
$ 30 – WATU 200 WA KWANZA
$ 40 – BAADA YA WATU 200 KUTIMIA
TUNAOMBA MUWAHI ILI SHOW IANZE...
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Yamoto Band kufanya Live Show kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London
YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +44755730494
info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com
Ukumbi wa Royal Regency ndio sehemu...
10 years ago
GPLYAMOTO BAND WATAFANYA SHOW MOJA YA MWISHO KWENYE JIJI LA NORTHAMPTON ENGLAND
10 years ago
GPLYAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON