‘Ni sahihi kuikosoa serikali’
MBUNGE wa Viti Maalumu Zaynab Vulu (CCM), amesema ni sahihi kuikosoa bajeti ya serikali pale inapobidi. Alitoa kauli hiyo bungeni wakati akichangia hotuba ya bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya corona: Je, Trump yuko sahihi kuikosoa WHO?
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Serikali yasisitiza matumizi ya takwimu sahihi
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
Na Aron Msigwa
SERIKALI imetoa wito kwa watafiti na wataalam kutoka vyuo vikuu, taasisi za elimu na mashirika binafsi kushiriki kikamilifu kuhamasisha jamii...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LQF_AnDlAkQ/VOYTPzihe0I/AAAAAAAHEmw/4T8Qy0s3cdo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-27x6KcTgjRg/VOYTPCei3wI/AAAAAAAHEms/TEZMvGCtRpk/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gFubjzDw5Xg/Xk_jUGanFzI/AAAAAAALesU/yHUPLq7wlh0DDYM5EBg5AavvKaHueFn2QCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.
Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Serikali ichague karata sahihi gesi iwanufaishe Watanzania
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...