NI SHEEDAH 'WEMA, AUNTY HUSAGANA'
![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMAPU*irkQVcFKc79wmBfPk1sIdH3NA4028zoF98WWsdnt4Ew1Of1djrAnIL*D4pAG0XI0E3MbJ45lCCPodhjEI/FRONTAMANI.jpg?width=650)
Stori: Musa Mateja na Imelda Mtema Ni sheedah! Pamoja na kukanusha kwa kutumia nguvu kubwa, nyuma ya ushosti wa mastaa grade one wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Aunty Ezekiel kuna siri nzito ikidaiwa kwamba wawili hao husagana. Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Aunty Ezekiel wakidendeka hadhalani. TUKIO BICHI Madai hayo ya muda mrefu huku wenyewe wakisisitiza si ya kweli,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
11 years ago
GPL04 Mar
WEMA SEPETU AMREKODI 'BABY' WAKE AKIGONGA MENYU
Staa wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu amemrekodi mpenzi wake, Diamond Platnumz akipata msosi katika mghahawa wa Indian Cuisine (Video: Instagram)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycSMJLRdfNOECPCubO-ldAQnxMpzyPPeC0-BBbPXdYjP0QO06spY8aJ8ZaNPymHutZjr2UlhkF*jVCVNOfeAGK0R/diammond.jpg)
WEMA, DIAMOND WANADAIWA KUFANYIANA 'TIMINGI' YA KUMWAGANA!
Diamond..Mh! Upepo mbaya unaivumia kapo ya mafahari wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambapo wanadaiwa kufanyiana ‘taimingi’ ya kumwagana, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili. Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Kwa mujibu wa mnyetishaji wetu makini, wawili hao wamepotezeana kwa muda mrefu huku kila mmoja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CrqcuZV2*cnsG-*dgcGQtrkNM7lnXEDt07bXAgH*S00JduXB9DqV6htitv6PrHfZo58d7ZbXeQZ-qJEvSW4wtyM/wema.jpg)
KAN'TANGAZE: MAMA'KE DIAMOND ANASWA NYUMBANI KWA WEMA
Na Waandishi Wetu KANTANGAZE! Hiyo ndiyo kauli pekee inayoweza kuakisi picha za tukio la Beautiful Onyinye, Wema Sepetu akiwa na ‘mkwewe’, Sanura Kasimu ‘Sandra’ wakiwa pamoja nyumbani kwa staa huyo wa filamu Bongo, Kijitonyama jijini Dar. Beautiful Onyinye, Wema Sepetu akimnawisha Diamond Platinum kwa ajili ya kupata futari. Kwa mara ya… ...
11 years ago
GPLWEMA SEPETU 'MADAM' AKIWA RED CARPET DAR LIVE USIKU HUU
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu akipozi katika red carpet ndani ya Dar Live usiku huu tayari kwa shindano la Ijumaa Sexiest Girl linalofikia tamati leo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fmojbSGpCVY9TW54lhlj-ptX7F*gkaWxvLUUMfsGtJMtgH59svzjuFjg0jwmEqXG5NomQBFZbiGCm0rxkjtgMs/hands.in.the.air.gif?width=650)
MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI
MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6q4t4dNL56l1K71n8k6c8fi1Bx8MTknm9V2GDnC4FoPldMUU9IqqQtr*pKNl7Bj*oHbMlxwtxIUsfExtpPFSfnum4uPqE*-8/02.jpg?width=650)
KAMPUNI YA TTCL YAANZISHA KITUO CHA INTERNETI 'IP POP'
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza katika mdahalo wa wadau wa mawasiliano uliofanyika jana jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kulia) akizungumza na wanahabari mara baada ya mkutano wa wadau wa mawasiliano Afrika ikiwemo…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/JIM-2.jpg)
MPENZI WA MWIGIZAJI JIM CARREY AJIUA BAADA YA 'KUTEMWA'
Cathriona White akiwa na aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwigizaji maarufu wa filamu za Hollywood, Jim Carrey. Cathriona White enzi za uhai wake. ....Wakijiachia ufukweni. Nyumba ulimokutwa mwili wa marehemu Cathriona White…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania