Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni ushindi tu -Mkwasa

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema wanatarajia kutumia mfumo wa mashambulizi kuwadhibiti wapinzani wao Malawi katika mchezo wa marudiano utakaochezwa kesho nchini humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa aunda ‘jeshi’ la ushindi

Kocha mpya wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa ametangaza benchi zito la ufundi linalojumuisha wachezaji maarufu wa zamani, Peter Manyika anayekuwa kocha wa makipa, Hussein Sued akiwa mtunza vifaa, Abdallah Kibaden anayekuwa mshauri mkuu na Juma Mgunda akiwa meneja.

 

11 years ago

TheCitizen

Mkwasa: We’ll attack Al Ahly

Young Africans assistant head coach Boniface Mkwasa expects an attacking Al Ahly side when they lock horns in the second leg of the first round of the Caf Champions League on Sunday.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa ‘anuka’ fedha

Boniface Mkwasa (pichani) anakuwa kocha ghali zaidi Mtanzania baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza kumlipa Dola 12,500 (Sh28 milioni) kwa kukubali kuchukua jukumu la kuinoa Taifa Stars.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwasa sasa ajiamini

Wakati timu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ ikiwasili alfajiri ya leo kutoka Uturuki, kocha mkuu  Charles Mkwasa ameelezea kambi hiyo kuwa ilikuwa yenye mafanikio makubwa.

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa: We’re ready for Nigerians

Stars face a must-win home match to revive Afcon finals hope after a bad start with 0-3 defeat to the Egyptians

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yampongeza Mkwasa

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetuma salamu za pongezi kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa ‘Master’ kwa kupata nafasi ya kuwa msaidizi wa Mholanzi Hans van Pluijm katika...

 

9 years ago

TheCitizen

Mkwasa calls for more professionals

Taifa stars head coach, Charles Boniface Mkwasa has said that the team will be a force to reckon with should more local players get involved in professionalism football abroad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkwasa:Tumecheza vizuri

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania,Charles Boniface amesema timu yake ilijitahidi licha ya kutolewa na wenyeji Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani