Mkwasa aunda ‘jeshi’ la ushindi
Kocha mpya wa Taifa Stars, Boniface Mkwasa ametangaza benchi zito la ufundi linalojumuisha wachezaji maarufu wa zamani, Peter Manyika anayekuwa kocha wa makipa, Hussein Sued akiwa mtunza vifaa, Abdallah Kibaden anayekuwa mshauri mkuu na Juma Mgunda akiwa meneja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Oct
Ni ushindi tu -Mkwasa
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema wanatarajia kutumia mfumo wa mashambulizi kuwadhibiti wapinzani wao Malawi katika mchezo wa marudiano utakaochezwa kesho nchini humo.
9 years ago
Michuzi26 Sep
CCM YARUSHA JESHI LA ANGA, MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3XPbfxgGPjLoxBgmUDThDeE64c-86g5k-pr9X_F8rBFsbxte3Abm1IKK15XnfGwaphluQ5u8Xgwq-YMfGpjHSpTSJbl-iNpf3J9kEGvkt8fQX8Okbt-jaIfp-jl3gS_zSDBfuFXD-tsfmHzjDx0UIzDaQT0Ld06oUAfEFM_nTrZsD5pDrj88VDt-63Kh6WG0LFFvDg58Ztur50pbt5Nq5E3_NZ9tqMDRIkumA9csCNuHwQjk=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aeAE77CPZs5OzcMHun31JHDuzzleY8LYk2TMA8oKqeqJiSft-aEJ5OhuDkTTvOM0W5hmivYMJY4MMx2D1c_WHQqIJLtFrGVCJGGDiuL42YdUmynA3_bFqxNY7MVil8klRKN3jVduKxAUh30RBDz22zba7ggM44KYv6iiHwteTpteStzCB4Gcp1dA3WwIl02WSF_QS5YD5qdgX5BwejLghSWxOkuuLLdd1LDufDMLYY-rqIKOrFU=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12037964_10206746686418802_2616894233099586072_n.jpg?oh=a0f1c900ad60d747d56d5b5c8b0b0035&oe=5698AA82)
9 years ago
Vijimambo25 Sep
TASWIRA,CCM YARUSHA JESHI LA ANGA,MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA HII LEO
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12038032_429473873921513_2447179536983485105_n.jpg?oh=b1b2367c9b29bfe510264d4ef0d555ff&oe=569976DF)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-9/12063471_429450910590476_8674893649040548460_n.jpg?oh=c9ad8950c50c04cbfae8a3b3818b3995&oe=5697AE36&__gda__=1452211236_053baea979e5f92f0482cd364ee25502)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11174936_429450847257149_4973483893161465795_n.jpg?oh=8989b142cbe2bd76766f5be66b77ef1f&oe=569D80DA&__gda__=1453725104_bb913dedeb9c8b82b9123c17fc5993e7)
9 years ago
Mtanzania04 Jan
DC aunda kamati kuchunguza mgomo
Na Safina Sarwatt, Moshi
MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo baridi wa madakatari na manesi unaendelea katika Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na kucheleweshewa mishahara.
Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.
Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...
10 years ago
Habarileo15 Sep
Mwakyembe aunda Kamati ya Ajali
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameunda Kamati Maalumu iliyopewa kazi ya kuchunguza mambo mbalimbali ambayo yatasaidia kupunguza ajali za barabarani.
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Kificho aunda kamati ya kumshauri
MWENYEKITI wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Ameir Pandu Kificho, ameunda kamati ya watu 20 itakayomsaidia kumshauri katika utekelezaji wa majukumu yake ya kuandaa na kusimamia mchakato wa upitishaji...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-76ya1h8vNIw/VUugyCkhFvI/AAAAAAAHWNA/suuILdAfgrM/s72-c/0%2C%2C18427825_303%2C00.jpg)
NETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL
![](http://2.bp.blogspot.com/-76ya1h8vNIw/VUugyCkhFvI/AAAAAAAHWNA/suuILdAfgrM/s640/0%2C%2C18427825_303%2C00.jpg)
Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s72-c/unnamed..jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s640/unnamed..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCDFCrSJDNw/VOymUsZqDII/AAAAAAAAqX8/_-pn-Rjm0BQ/s640/unnamed%2C.jpg)