KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s72-c/unnamed..jpg)
DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
"Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!
![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-84-TZkMTloc/VOyWdjPRT5I/AAAAAAAHFmk/NAbX8hKCf-o/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Kijana wa Kitanzania aunda Redio Stesheni — Shujaaz!
DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
“Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Nikijiangalia namwona kijana wa Kitanzania
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-he7EgjSaAeM/UvT5kNtVyWI/AAAAAAAFLnM/NJ-dgpDgaHs/s72-c/k1.png)
KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI
11 years ago
Michuzi12 Jul
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa
Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s72-c/SGR.jpg)
MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s400/SGR.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s72-c/IMG-20150108-WA032.jpg)
Abiria wa Treni ya Reli ya Kati wakwama katika Stesheni ya Uvinza,Kigoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s1600/IMG-20150108-WA032.jpg)
Ripota wa Globu ya Jamii ambaye ni mmoja wa abiria hao,amezungumza na stesheni masta wa wa Uvinza na kumueleza kuwa ameshatuma wataalam kwenda eneo la tukio...