Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nikijiangalia namwona kijana wa Kitanzania

Wakati maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ikifikia kilele jana, baadhi ya wanawake wamefanikiwa kupamba vyombo vya habari mbalimbali duniani kutokana na michango yao katika jamii kupitia nyanja mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI

DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
"Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

 

10 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!

 DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha. 
"Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kijana wa Kitanzania aunda Redio Stesheni — Shujaaz!

Shujaaz Banner

DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.

“Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI

 Kijana wa kitanzania asomae Korea Kusini Bw. Sunday Sokoni ameibuka kidedea kwa kushinda nafasi ya pili katika mashindano ya kukariri na kuongea mashairi ya kikorea kwa hisia.  Shindano hilo liliwakutanisha washindani mia moja na therethini (130) wengi wao wakiwa ni Wakorea lakini Sunday Sokoni alifanikiwa kuwabwaga Wakorea hao na kuwa raia pekee wa kigeni aliyeingia kwenye Tatu bora.   Ushindi wa Sunday ulikuwa gumzo jijini Seoul-Korea na kupelekea Television za Korea kufanya mahojiano na...

 

9 years ago

Habarileo

Mtoto wa Kitanzania kuhutubia UN

MTOTO mwenye umri wa miaka 16, Suhaila Mwarimwana anatarajiwa kuhutubia katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani kuhusu masuala mbalimbali yanayowakabili watoto nchini Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wa kitanzania wanavyohadaiwa ughaibuni

Leo tuangalie habari tatu zinazokabana kabali na maisha yetu magumu Waafrika. Ingawa ni za kuchoma moyo zitatupa azma ya kujaribu kujua nini hasa chanzo cha adha zetu na kutafuta ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Muziki wa kitanzania na changamoto zake (1)

>Licha ya kufariki miongo kadhaa iliyopita, wanamuziki kama Marijani Rajab, Mbaraka Mwishehe, Juma Kilaza, Muhidin Maalim Gurumo na wengine wengi, kazi zao bado zinaendelea kuishi.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa Kitanzania ashinda insha SADC

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Mtwanga (16), anayesoma Shule ya Sekondari Naboti, Makambako Mkoa wa Njombe, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwenye utunzi wa insha, katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika (SADC), katika ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC mjini Victoria Falls, Zimbabwe jana. (Picha na Fred Maro, Ikulu).WATOTO wa Kitanzania kutoka shule za kawaida na zile za kata, wameendelea kuipa nchi heshima kimataifa, kwa kuongoza katika mashindano ya kitaaluma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani