Nikijiangalia namwona kijana wa Kitanzania
Wakati maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ikifikia kilele jana, baadhi ya wanawake wamefanikiwa kupamba vyombo vya habari mbalimbali duniani kutokana na michango yao katika jamii kupitia nyanja mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s72-c/unnamed..jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s640/unnamed..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCDFCrSJDNw/VOymUsZqDII/AAAAAAAAqX8/_-pn-Rjm0BQ/s640/unnamed%2C.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!
![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-84-TZkMTloc/VOyWdjPRT5I/AAAAAAAHFmk/NAbX8hKCf-o/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Kijana wa Kitanzania aunda Redio Stesheni — Shujaaz!
DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
“Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...
11 years ago
Michuzi12 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-he7EgjSaAeM/UvT5kNtVyWI/AAAAAAAFLnM/NJ-dgpDgaHs/s72-c/k1.png)
KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI
9 years ago
Habarileo19 Sep
Mtoto wa Kitanzania kuhutubia UN
MTOTO mwenye umri wa miaka 16, Suhaila Mwarimwana anatarajiwa kuhutubia katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani kuhusu masuala mbalimbali yanayowakabili watoto nchini Tanzania.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Wanawake wa kitanzania wanavyohadaiwa ughaibuni
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Muziki wa kitanzania na changamoto zake (1)
10 years ago
Habarileo18 Aug
Mtoto wa Kitanzania ashinda insha SADC
WATOTO wa Kitanzania kutoka shule za kawaida na zile za kata, wameendelea kuipa nchi heshima kimataifa, kwa kuongoza katika mashindano ya kitaaluma.