Kijana wa Kitanzania aunda Redio Stesheni — Shujaaz!
DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
“Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!
![](http://1.bp.blogspot.com/-OSFS_e5ZmQ4/VOyWc3lazOI/AAAAAAAHFmc/geaUUPsSqmw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-84-TZkMTloc/VOyWdjPRT5I/AAAAAAAHFmk/NAbX8hKCf-o/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s72-c/unnamed..jpg)
KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-q7bhrbjRMfU/VOyiYB2nqFI/AAAAAAAAqXo/Yt4C8JOtUHg/s640/unnamed..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JCDFCrSJDNw/VOymUsZqDII/AAAAAAAAqX8/_-pn-Rjm0BQ/s640/unnamed%2C.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Nikijiangalia namwona kijana wa Kitanzania
11 years ago
Michuzi12 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-he7EgjSaAeM/UvT5kNtVyWI/AAAAAAAFLnM/NJ-dgpDgaHs/s72-c/k1.png)
KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa
Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...
10 years ago
GPLWAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s72-c/SGR.jpg)
MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-sa1lHw5QuZ8/Xvc682JyTKI/AAAAAAABMnw/oPE3CnNRZ2IypTgZh9SaeeGaWcJvszj7ACLcBGAsYHQ/s400/SGR.jpg)
9 years ago
Bongo504 Nov
Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio
![EAR - Online Promo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/EAR-Online-Promo-300x194.jpg)
Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?
Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.
Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.
“Show yangu itahusika na...