Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana wa Kitanzania aunda Redio Stesheni — Shujaaz!

Shujaaz Banner

DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.

“Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI - SHUJAAZ!

 DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha. 
"Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA WA KITANZANIA AUNDA REDIO STESHENI

DJ Tee (19) ni kijana mwenye ndoto kubwa katika maisha yake. Baada ya kuona mahangaiko ya vijana kuelekea kwenye mafanikio, wengi wakiwa wamemaliza shule na vyuo bila kupata kazi, ameamua kuunda redio stesheni ghetoni kwake aliyoipa jina la Shujaaz, ili aweze kushea ideas na vijana wote nchini Tanzania kuhusu mbinu mbalimbali za kuingiza pesa, kuwapa stori za vijana wanaochakarika katika maisha yao pamoja na kuwaburudisha.
"Nimeamua kuiita Shujaaz kwa sababu, naamini kuwa kijana ambaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Nikijiangalia namwona kijana wa Kitanzania

Wakati maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ikifikia kilele jana, baadhi ya wanawake wamefanikiwa kupamba vyombo vya habari mbalimbali duniani kutokana na michango yao katika jamii kupitia nyanja mbalimbali.

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA WA KITANZANIA ANG’ARA PANDE ZA KOREA KUSINI

 Kijana wa kitanzania asomae Korea Kusini Bw. Sunday Sokoni ameibuka kidedea kwa kushinda nafasi ya pili katika mashindano ya kukariri na kuongea mashairi ya kikorea kwa hisia.  Shindano hilo liliwakutanisha washindani mia moja na therethini (130) wengi wao wakiwa ni Wakorea lakini Sunday Sokoni alifanikiwa kuwabwaga Wakorea hao na kuwa raia pekee wa kigeni aliyeingia kwenye Tatu bora.   Ushindi wa Sunday ulikuwa gumzo jijini Seoul-Korea na kupelekea Television za Korea kufanya mahojiano na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa

DSC_0088

Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI RELI WASAFISHA ENEO LA STESHENI JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Bodi ya TRL, Severin Kaombwe (kulia),  akihojiwa na wanahabari katika stesheni ya Posta jijini Dar es Salaam.  Kushoto ni  Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la reli Eng. Elias A. Mshana. Wafanyakazi wa TRL wakijiandaa kuchukua vifaa vya kufanyia usafi eneo la stesheni.…

 

5 years ago

CCM Blog

MUONEKANO WA STESHENI YA TRENI YA MWENDO KASI SGR DAR ES SALAAM

Mwonekano wa kituo cha treni ya SGR Dar es salaam, ujenzi bado unaendelea

 

9 years ago

Bongo5

Shujaaz radio show na DJ Tee kuanza kuruka hewani kupitia East Africa Radio

EAR - Online Promo

Unamkumbuka yule dogo aliyeanzisha redio stesheni yake nyumbani kwao?

EAR - Online Promo

Bila shaka umewahi kusoma story yake kwenye kijarida cha kila mwezi kiitwacho SHUJAAZ ambacho husambazwa na gazeti la Mwanaspoti na vibanda vya Coca Cola.

Sasa hivi, dogo ana habari mpya na njema kwa vijana na wote wanaomfuatilia. Nyota imeanza kung’ara upande wake na sasa redio kubwa Tanzania EAST AFRICA RADIO imeamua kumpa nafasi aweze kusikika hewani na show yake mpya iitwayo SHUJAAZ.

“Show yangu itahusika na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani