Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muziki wa kitanzania na changamoto zake (1)

>Licha ya kufariki miongo kadhaa iliyopita, wanamuziki kama Marijani Rajab, Mbaraka Mwishehe, Juma Kilaza, Muhidin Maalim Gurumo na wengine wengi, kazi zao bado zinaendelea kuishi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Muziki wa Tanzania na changamoto zake (2)

Licha ya kuwepo kwa wanamuziki wenye vipaji, muziki wenye asili ya Kitanzania umeonekana kupotea kwenye anga la tasnia hiyo ndani na nje ya Tanzania. Pamoja na wadau kadhaa kupingana na nadharia hiyo lakini kimtazamo ndiyo ukweli halisi. Endelea…

 

10 years ago

Vijimambo

MSIKILIZE NATASHA MWANA MUSIC WA KITANZANIA ANAEFANYA KAZI ZAKE KATIKA NCHI YA NORWAY


Natasha.Shyrose
soundcloud.comNatasha Shyrose is among the first female East African artists presenting Tanzania since 1998 based now in Norway. I am vocalist/songwriter/executive producer/Fashion Designer and Master Student in Co.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo wa BVR na changamoto zake

BVR ni mfumo wa uandikishaji wapigakura ambao unakusanya taarifa muhimu zote za mtu na kuweza kuziainisha tofauti na taarifa za mtu mwingine

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shamba la mifugo Mabuki na changamoto zake

SHAMBA la uzalishaji wa mifugo Mabuki  lililopo mkoani Mwanza lina  hekta 9,793 na ng’ombe 2,479; nyati maji 65;  mbuzi wa maziwa 156 na mbuzi chotara wa nyama 48. Hivi karibuni...

 

10 years ago

Vijimambo

Elimu ya awali Tunduru na changamoto zake

Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.
WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki itakuwa ni njia moja wapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo maana wanaendelea kupaza sauti wakiitaka serikali kupitia vyombo husika kuboresha kwanza elimu ya awali kabla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu wa simu za mkononi na changamoto zake

KUTOKANA na kuwepo kwa vitendo vya uhalifu kupitia mitandao, wananchi wanapaswa kutoteleza masuala mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) kabla ya kuzungumza na mhusika,” anasema Naibu Mkurugenzi, Masuala ya...

 

10 years ago

Michuzi

DK SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA CHANGAMOTO ZAKE MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Viongozi mbali mbali baada ya  uzinduzi wa  Mpango wa Magharibi ya Bahari ya Hindi ya Changamoto za Ukanda wa Pwani wa mabadiliko ya Tabianchi  katika viwanja vya Orator Hotel,Apia Samoa. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Waziri Mkuu wa Mauritius wakati wa chakula baada ya uzunduzi wa Mpango wa Magharibi ya Bahari ya Hindi ya Changamoto...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI KITWANGA AANZA ZIARA ZAKE KWA KUTEMBELEA JESHI LA POLISI, AWATAKA MAKAMANDA NA ASKARI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akizungumza na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo Kikuu cha Polisi (Central) wakati alipokitembelea kituo hicho cha Polisi jijini Dar es Salaam leo. Pia Waziri Kitwanga katika ziara yake hiyo ya kwanza tangu alipoteuliwa kuiongoza wizara hiyo, alitembelea Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA), pamoja na kukagua nyumba za Makazi ya Polisi za sasa na zamani zilizopo barabara ya Kilwa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani