Mfumo wa BVR na changamoto zake
BVR ni mfumo wa uandikishaji wapigakura ambao unakusanya taarifa muhimu zote za mtu na kuweza kuziainisha tofauti na taarifa za mtu mwingine
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mfumo wa BVR wapongezwa
Kazi ya kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kupitia mfumo wa Biometrick Voters Registration (BVR), ambao huhusisha uchukuaji wa alama za vidole na picha, jana iliingia siku ya tatu, huku baadhi yao wakipongeza utendaji wake.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto
Wakati majaribio ya uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa BVR yakiisha leo, wananchi wengi wameshindwa kujiandikisha kutokana na mpango wenyewe kusuasua.
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1.Mwandikishaji-wa-daftari-la-majina-ya-wapiga-kurakatikati-akisoma-jina-la-mwananchi-aliyehitajika-kwenda-kujiandikisha..jpg)
UANDIKISHAJI BVR DAR WATAWALIWA NA CHANGAMOTO
Mwandikishaji wa Daftari la Wapiga Kura (katikati) akisoma jina la mwananchi aliyehitajika kwenda kujiandikisha. Wananchi wakisubiri kujiandikisha eneo la kituo cha Kijitonyama-Mpakani B. …
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F8-aR2gWXs8/VOnpj1T6MoI/AAAAAAAARuU/e5TwESjiR_0/s72-c/mbowe.jpg)
Mbowe aibua mapya mfumo wa BVR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8-aR2gWXs8/VOnpj1T6MoI/AAAAAAAARuU/e5TwESjiR_0/s1600/mbowe.jpg)
Akifungua kikao cha baraza la uongozi wa chama hicho Kanda za Nyanda za Juu Kusini jana alisema, Mshauri Mwelekezi kutoka Marekani Darell Geusz...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Uandikishaji kwa mfumo wa BVR wavuka lengo
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia mfumo mpya wa Biometric Voters Registration (BVR) umezinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ukitajwa kuanza kwa mafanikio makubwa kutokana na idadi iliyojitokeza kuanzia juzi.
10 years ago
GPL14 Jul
10 years ago
GPL16 Jul
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Muziki wa kitanzania na changamoto zake (1)
>Licha ya kufariki miongo kadhaa iliyopita, wanamuziki kama Marijani Rajab, Mbaraka Mwishehe, Juma Kilaza, Muhidin Maalim Gurumo na wengine wengi, kazi zao bado zinaendelea kuishi.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Muziki wa Tanzania na changamoto zake (2)
Licha ya kuwepo kwa wanamuziki wenye vipaji, muziki wenye asili ya Kitanzania umeonekana kupotea kwenye anga la tasnia hiyo ndani na nje ya Tanzania. Pamoja na wadau kadhaa kupingana na nadharia hiyo lakini kimtazamo ndiyo ukweli halisi. Endelea…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania