Uandikishaji kwa mfumo wa BVR wavuka lengo
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia mfumo mpya wa Biometric Voters Registration (BVR) umezinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ukitajwa kuanza kwa mafanikio makubwa kutokana na idadi iliyojitokeza kuanzia juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jul
Arusha wavuka lengo uandikishaji BVR
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeongeza siku mbili za uandikishwaji katika Halmashauri ya Jiji la Arusha na kulazimika kazi hiyo kumalizika jana badala ya kuisha Julai 16 mwaka huu.
10 years ago
Habarileo06 Aug
Uandikishaji BVR Dar wavuka lengo
LICHA ya kuanza kwa kusuasua, kazi ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa kielektroniki wa BVR katika Jiji la Dar es Salaam, imepata mafanikio na kuvuka lengo la uandikishaji lililokuwa limewekwa.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zoezi la Uandikishaji kwa BVR lisitishwe
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Tume yavuka lengo la uandikishaji Makambako
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s72-c/Sisti-10June2015.jpg)
150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMxvlEYYdVU/VXmK2G-nCxI/AAAAAAABhhw/iSms9f08s50/s400/Sisti-10June2015.jpg)
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
10 years ago
Habarileo19 Jul
Ukerewe yavuka lengo kujiandikisha BVR
HALMASHAURI ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza imeandikisha wananchi 162,883 katika daftari la kudumu la wapiga kura.