Muziki wa Tanzania na changamoto zake (2)
Licha ya kuwepo kwa wanamuziki wenye vipaji, muziki wenye asili ya Kitanzania umeonekana kupotea kwenye anga la tasnia hiyo ndani na nje ya Tanzania. Pamoja na wadau kadhaa kupingana na nadharia hiyo lakini kimtazamo ndiyo ukweli halisi. Endelea…
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Muziki wa kitanzania na changamoto zake (1)
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Mfumo wa BVR na changamoto zake
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Elimu ya awali Tunduru na changamoto zake
![Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Mwalimu-wa-darasa-la-awali-wa-Shule-ya-Msingi-Nakayaya-Teckla-Milanzi-kulia-akiwa-na-wanafunzi-wake-eneo-ambalo-hutumika-kama-darasa-la-wanafunzi-hao..jpg)
WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki itakuwa ni njia moja wapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo maana wanaendelea kupaza sauti wakiitaka serikali kupitia vyombo husika kuboresha kwanza elimu ya awali kabla...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Shamba la mifugo Mabuki na changamoto zake
SHAMBA la uzalishaji wa mifugo Mabuki lililopo mkoani Mwanza lina hekta 9,793 na ng’ombe 2,479; nyati maji 65; mbuzi wa maziwa 156 na mbuzi chotara wa nyama 48. Hivi karibuni...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Umuhimu wa simu za mkononi na changamoto zake
KUTOKANA na kuwepo kwa vitendo vya uhalifu kupitia mitandao, wananchi wanapaswa kutoteleza masuala mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) kabla ya kuzungumza na mhusika,” anasema Naibu Mkurugenzi, Masuala ya...
9 years ago
Bongo514 Dec
Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
![beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/beka-300x194.jpg)
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DK SHEIN ASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA CHANGAMOTO ZAKE MAGHARIBI YA BAHARI YA HINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GwddrHwCy7k/VAhZKjCDBhI/AAAAAAAGd2Q/e3ud37VJgSs/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQ9a6R4QuFo/VAhZKzXyrgI/AAAAAAAGd2c/QGh6Q0KBlpo/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA AANZA ZIARA ZAKE KWA KUTEMBELEA JESHI LA POLISI, AWATAKA MAKAMANDA NA ASKARI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Tanzania:Uchumi wa Raia Changamoto