Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni vigumu kukiri lakini…

KATIKA ndoa kila kitu kina muda wake. Kuna muda wa kufurahi, utani na hata mitafaruku ya hapa na pale. Hiyo mitafaruku inapotokea ni jukumu la aliyeianzisha kuomba samahani kwa kukiri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Adai mateso yamlazimisha kukiri mauaji

Mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya mwanasiasa wa upinzani nchini Urusi amesema alikiri kuua kutokana na kuteswa

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yatakiwa kukiri kushindwa kutekeleza ahadi zake

rajab-mbarouk-april24-2013Na Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), ameitaka Serikali kukiri kushindwa kutekeleza ahadi za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa muda wa utekelezaji wake umekwisha.

Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, alisema kitendo cha Serikali kushindwa kukamilisha ahadi ya Kikwete ya kujenga barabara ya kilomita 2.5 ya Singano kwa Mkocho hadi Kivinje ni dalili ya kushindwa kwa Serikali hiyo.

“Kwanini Serikali hii ya CCM sasa isiwathibitishie wananchi kwamba imeshindwa...

 

10 years ago

GPL

MLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI

Khalid Kangezi akitoa ufafanuzi mbele ya wanahabri (hawapo pichani). …Akiwa na mwanaye Adam Kangezi (kushoto).…

 

11 years ago

BBCSwahili

'Ni vigumu kuidhibiti Arsenal 'Guardiola

Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola amekiri ni vigumu sana kudhibiti dakika tisini za mechi dhidi ya Arsenal ya Uingereza .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwanini ni vigumu kuacha ukeketaji?

MKATABA wa Haki ya Mtoto unasema kwamba Maendeleo ya mtoto yanahusu ukuaji wake kimwili, kiakili, kimaadili na kiroho. Haki ya Elimu, Watoto na Ajira, Elimu ya Uhusiano wa wasichana na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni vigumu kusitishwa vita Sudan K.

Msemaji wa Jeshi amesema kuna matumaini madogo ya kusitishwa kwa mapigano nchini Sudan Kusini kwa sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ni vigumu kupiga Kura ya Maoni, Uchaguzi’

Dar/Mtwara. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Nec, Jaji Mstaafu, Damian Lubuva (Lubuva) amesema kupiga Kura ya Maoni wakati wa Uchaguzi Mkuu ni vigumu na kwamba kumalizika kwa uandikishaji wapigakura utawapa nafasi ya kutangaza tarehe ya Kura ya Maoni.

 

11 years ago

Habarileo

Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani