NINI ATHARI ZA SIMU ZA MIKONONI KATIKA KUJENGA NA KUDUMISHA MAHUSIANO YA KIJAMII?
![](http://3.bp.blogspot.com/-nMT99zio8hw/VoOfSc-Mn0I/AAAAAAAIPTU/GeVbqdOAwrg/s72-c/Untitled.png)
Sehemu ya kwanza: Utangulizi na Chimbuko la Makala
Miezi kadhaa iliyopita, niliamka asubuhi na mapema kuwahi mkutano ambao nilikwenda kuhudhuria katika jiji la London, Uingereza. Kwa kuwa nililala nje kidogo ya jiji hili lenye watu kadiri ya milioni kumi, na kwa kua ni mbali kidogo kutoka nilipokua nahudhuria mkutano, nililazimika kupanda treni kwa muda usiopungua kama dakika arobaini hadi nifike kituo cha Euston kilicho chini ya ardhi (underground) na ambapo sio mbali sana na nilipokua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Jeshi laonya matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii
Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ), Luteni Kanali Erick Komba.
Na Mwandishi wetu.
Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) limetoa onyo kwa vijana na watanzania kwa ujumla kutokana na matumizi mabaya ya simu za mikononi na mitandao ya kijamii, hasa kwa taarifa zinazohusu Jeshi.
Hatua hiyo imekuja baada ya mtu/watu wasiojulikana kusambaza taarifa za uongo kuhusu vijana kwa mujibu wa sheria wanaoendelea na mafunzo katika makambi mbalimbali ya JKT wanakufa kwa ukatili.
Akikanusha taarifa hizo...
11 years ago
MichuziVYUO mbalimbali nchini Vyashauriwa kujenga mahusiano ya kirafiki ili kubadilishana uzoefu katika kufanya kazi zao.
10 years ago
Bongo518 Sep
Njia tano za kujenga na kuboresha mahusiano na watu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UgQbJlJMLdU/UwzS1v8PuKI/AAAAAAAFPkU/MGbxHlrQOiI/s72-c/unnamed+(29).jpg)
haja ya hoja: Jee unafikiria simu za mikononi zinasaidia vijana wadogo wa vijijini?
![](http://2.bp.blogspot.com/-UgQbJlJMLdU/UwzS1v8PuKI/AAAAAAAFPkU/MGbxHlrQOiI/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUJADILI TAARIFA YA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIJAMII NA MAZINGIRA YA MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA NGERENGERE HADI KIDUNDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Y0Wp3JaPq8/UyR7z9b5AAI/AAAAAAAFToM/RlDSEiEDTQI/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a0Vvq0GZeAI/VCqBIAPFB1I/AAAAAAACr3U/hvRkCZCp9HA/s72-c/5.jpg)
PROGRAMU MPYA YA KUJIFUNZA SOMO LA HISABATI KWA KUTUMIA SIMU ZA MIKONONI YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-a0Vvq0GZeAI/VCqBIAPFB1I/AAAAAAACr3U/hvRkCZCp9HA/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-62UVv7pT3T4/VCqBIBriSFI/AAAAAAACr3M/3VUU-TOyvNU/s1600/6.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Kwa nini uko facebook na mitandao mingine ya kijamii
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10