Njombe DC wavuka tena malengo ya makusanyo ya mapato
![](https://1.bp.blogspot.com/-TlpXNSaGo1s/XqpvfhUGcII/AAAAAAALomI/mA9YQXfS1F4gJuNEs1D7W8bEAVj1ZpMQACLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Na Amiri kilagalila,NjombeHalmashauri ya wilaya ya Njombe ambayo asilimia 70 ya mapato yake inayapata kutoka kwenye mazao ya miti , imefanikiwa kuvuka tena lengo la makusanyo ya mwaka 2019/2020 katika kipindi cha robo tatu ya mwaka kwa kukusanya asilimia 108 ya mapato.Ripoti hiyo ya makusanyo imetolewa katika kikao cha baraza na mwenyekiti wa halmashauri Valentino Hongoli na kutolewa ufafanunuzi na mkurugenzi Ally Juma ambaye anasema siri ya mafanikio makubwa katika makusanyo yametokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TlpXNSaGo1s/XqpvfhUGcII/AAAAAAALomI/mA9YQXfS1F4gJuNEs1D7W8bEAVj1ZpMQACLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
HALMASHAURI YA NJOMBE YAVUKA TENA MALENGO UKUSANYAJI MAPATO
Na Amiri kilagalila,NjombeHALMASHAURI ya wilaya ya Njombe ambayo asilimia 70 ya mapato yake inayapata kutoka kwenye mazao ya miti , imefanikiwa kuvuka tena lengo la makusanyo ya mwaka 2019/2020 katika kipindi cha robo tatu ya mwaka kwa kukusanya asilimia 108 ya mapato.Ripoti hiyo ya makusanyo imetolewa katika kikao cha baraza na mwenyekiti wa halmashauri Valentino Hongoli na kutolewa ufafanunuzi na mkurugenzi Ally Juma ambaye anasema siri ya mafanikio makubwa katika makusanyo yametokana na...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
TPA wavuka malengo BRN
10 years ago
Dewji Blog14 May
Mapato ya ndani yaimarishwe kufanikisha Malengo ya Millenia
Mkurugenzi wa kupunguza umaskini kutoka Wizara ya Fedha, Ana Mwasha (kulia) akifungua kongamano, linalojadili yaliyojiri katika Malengo ya Millenia na nini kinastahili kufanywa katika SDG’s ili kuhakikisha mafanikio katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Uchumi na Utafiti wa Kijamii nchini (ESRF) Dk.Oswald Mashindano na Katikati ni Naibu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_7697.jpg)
MAPATO YA NDANI YAIMARISHWE KUFANIKISHA MALENGO YA MILLENIA
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Taarifa ya makusanyo ya ujenzi wa Msikiti
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s640/20150531233304.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5A1D3Lkq088/VWv-lZr5p8I/AAAAAAAAd1k/A4gmT2Er0KM/s640/20150531233316.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sp8kBA3Kn4M/VWv-lng6YfI/AAAAAAAAd1o/muubHoNuWDM/s640/20150531233204.jpg)
Kwa Jina la M/Mungu nina anza Andika , Nawashukuru Ndugu zangu WA TANZANIA ,KENYA na wasio kuwa hao kwa Upamoja wao wa Michango yao ya hali na Mali katika Kuimarisha UJENZI WA MSIKITI UNAONA KATIKA PICHA .
Nakushukuru BLOGS ZOTE ZA TANZANIA shukran za Pekee kwa Brother Mroki Mroki wa Father Kidevu Blog kwa kuwa Balozi Mzuri wa kulitangaza Jambo hili kwa Jamii pamoja na Blogs nyingi Marafiki wa Father Kidevu Blog. Leo Tarehe 30/5/2015 NAOMBA NIULETE MREJESHO HUU KWENU WA MAKUSANYO TOKA...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s72-c/20150531233304.jpg)
TAARIFA YA MAKUSANYO UJENZI YA MSIKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lhy9kmSFgg/VWv-j7RhYaI/AAAAAAAAd1c/jrbgRBXJ4wQ/s640/20150531233304.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5A1D3Lkq088/VWv-lZr5p8I/AAAAAAAAd1k/A4gmT2Er0KM/s640/20150531233316.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sp8kBA3Kn4M/VWv-lng6YfI/AAAAAAAAd1o/muubHoNuWDM/s640/20150531233204.jpg)
Nakushukuru BLOGS ZOTE ZA TANZANIA shukran za Pekee kwa Brother Mroki Mroki wa Father Kidevu Blog kwa kuwa Balozi Mzuri wa kulitangaza Jambo hili kwa Jamii pamoja na Blogs nyingi Marafiki wa Father Kidevu Blog. Leo Tarehe 30/5/2015 NAOMBA NIULETE MREJESHO HUU KWENU WA MAKUSANYO TOKA TAREHE...