Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkamia azishauri timu za majeshi

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema timu za majeshi ya Ulinzi na Usalama zitakuwa na nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika soka nchi endapo tu zitaungana na kutengeneza timu moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nkamia akerwa utitiri timu za jeshi Ligi Kuu

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Juma Nkamia, anakerwa na utitiri wa timu za jeshi katika Ligi Kuu ya Tanzania bara, akitaka kuwa na ukomo. Kauli hiyo ilitolewa...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MAJESHI MSTAAFU, JENERALI GEORGE WAITARA AONGOZA TIMU YA MAAFISA 24 WA JESHI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Mgeni rasmi katika hafla hiyo ,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi,Fulgence Mponji akikabidhi bendera kwa Mkuu wa majeshi mstaafu ,Jenerali George Waitara ambaye ndiye kiongozi wa msafara huo. 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akizungumza katia hafla fupi ya kuanzisha safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa maofisa 24 wa jeshi la wananchi Tanzania .kulia ni Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali George Waitara na kushoto ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi la wananchi ,Luteni...

 

11 years ago

TheCitizen

Reconcile with the media, Lowassa to Nkamia

The chairman of the Parliamentary Committee for Foreign Affairs, Security and Defence, Mr Edward Lowassa, has urged the ministry of Information, Culture, Youth and Sports to settle its recent misunderstanding with media practitioners in the country.

 

11 years ago

Mwananchi

Kitwanga, Juma Nkamia wanena

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Juma Nkamia, amesema kuteuliwa kwake katika nafasi hiyo kunaonyesha jinsi Rais Jakaya Kikwete anavyothamini wanahabari kuwa wana upeo na wana uwezo wa kujisimamia.

 

10 years ago

GPL

NKAMIA:SIGOMBEI URAIS 2015

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015 Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na… ...

 

10 years ago

Michuzi

SIGOMBEI URAIS 2015 NKAMIA

GEDSC DIGITAL CAMERANaibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni   Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari leo  jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015GEDSC DIGITAL CAMERABaadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia leo jijini Arusha katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukistaajabu ya Nkamia utaona ya Mwigulu

NIMEJITAHIDI kadiri ya uwezo wangu kujizuia nisijadili kabisa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete, lakini nimeshindwa. Nasema nimeshindwa kutokana na jina la Juma Nkamia,...

 

10 years ago

Mwananchi

Nkamia akumbuka enzi za utangazaji

Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani