NMB yanogesha maazimisho ya siku ya wanawake Simiyu.
Wakati Mkoa wa Simiyu ukiwa mwenyeji wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Kitaifa Machi 8, 2020, Benki ya NMB imenogesha maadhimisho hayo kwa kutoa msaada wenye thamani ya sh. Milioni 26.
Msaada huo ni pesa taslimu kiasi cha sh. Milioni tano pamoja na tisheti zenye thamani ya Sh. Milioni 21, ambapo umekabidhiwa na Meneje wa Beki hiyo Kanda ya Magharibi Sospeter Magesse.
Akipokea msaada huo Katibu Tawala wa Mkoa Jumanne Sagini, aliishukuru benki hiyo kwa msaada huo walioutoa ambao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1bbr0BjgR1s/Xl6UlKGWkVI/AAAAAAAAm7g/OTCit-xrhzMyTETs_Hupsc_nVVSFEW74wCEwYBhgL/s72-c/thumbnail.jpg)
NMB YANOGESHA MAADHIMISHI YA SIKU YA WANAWAKE MKOANI SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-1bbr0BjgR1s/Xl6UlKGWkVI/AAAAAAAAm7g/OTCit-xrhzMyTETs_Hupsc_nVVSFEW74wCEwYBhgL/s640/thumbnail.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4g9NG4YNEOA/Xl6UkDOAjxI/AAAAAAAAm7U/StJay09zgyIuYjGPn1WRE8hrct_M1kiLACEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--h23xr_39fk/Xl6UkS6QXQI/AAAAAAAAm7c/VRLBkY8ku5EaGvXqJwnzj80ImXwMEkthQCEwYBhgL/s640/thumbnail%2B%25282%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-goD4CQuAwHY/Xl6UkfLQ6QI/AAAAAAAAm7Y/JgfYsjPYQlMaNXKsmwBiElbX6FF52h37ACLcBGAsYHQ/s640/thumbnail%2B%25283%2529.jpg)
Wakati Mkoa wa Simiyu ukiwa mwenyeji wa maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Kitaifa Machi 8, 2020, Benki ya NMB imenogesha maadhimisho hayo kwa kutoa msaada wenye thamani ya sh. Milioni 26.Msaada huo ni pesa taslimu kiasi cha sh. Milioni tano pamoja na tisheti zenye thamani ya Sh. Milioni...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s72-c/001.GENDAR.jpg)
VODACOM FOUNDATION YANOGESHA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbuBSk1Qfm4/VmbC_SUCsnI/AAAAAAAIK6s/GdvVvYl7YRI/s640/001.GENDAR.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SFzYBMkmum4/VmbDBosNEiI/AAAAAAAIK60/-bXdynWM798/s640/002.GENDAR.jpg)
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI SIMIYU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_UUA-4_yy4k/Xl0GdiOhPgI/AAAAAAALgZQ/VQzfVLu3G2UgqXEUimpw-n76MmE3Uih1gCLcBGAsYHQ/s72-c/mama-samia-suluhu..jpg)
MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KITAIFA MKOANI SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-_UUA-4_yy4k/Xl0GdiOhPgI/AAAAAAALgZQ/VQzfVLu3G2UgqXEUimpw-n76MmE3Uih1gCLcBGAsYHQ/s400/mama-samia-suluhu..jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake Mjini Bariadi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema Maadhimisho haya yanaongozwa na kauli Mbiu "Kizazi cha Usawa kwa Maendeleo ya Tanzania ya Sasa na ya ...
5 years ago
CCM BlogMAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YALIVYORINDIMA KITAIFA MBELE YA MAMA SAMIA WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU, LEO
Wanawake wakiwa kwenye maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, yaliyofanyika Kitaifa yakiongozwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , katika Uwanja wa Halmashauri Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu leo....
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJAXH_8_HwQ/Vj210zvyHTI/AAAAAAAIExM/E8ocAeMumXc/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-07%2Bat%2B11.23.03%2BAM.png)
WASANII WATAKIWA KUCHAGAMKIA MAAZIMISHO YA SIKU YAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJAXH_8_HwQ/Vj210zvyHTI/AAAAAAAIExM/E8ocAeMumXc/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-07%2Bat%2B11.23.03%2BAM.png)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa mbele...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Siku ya wanawake Duniani: Ilikuwaje Machi 8 ikawa Siku ya Wanawake Duniani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdRz8jeE0m-BpFdatd0ZMO9z0N7bMDscz-FQslp3YokgYu51knbKPkX2hElW9RA4*AixiVZ3wM5IULZmenXokzzQ/unnamed9.jpg?width=650)
SIKU YA TATU YA ZIARA YA NDG.JERRY SILAA MKOANI SIMIYU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T8tdaKLg488/VGBaLIfM6FI/AAAAAAAGwTk/vKRvpF71R0s/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Siku ya tatu ya ziara ya Ndg Jerry Silaa mkoani Simiyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-T8tdaKLg488/VGBaLIfM6FI/AAAAAAAGwTk/vKRvpF71R0s/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4t8hszr0Sdw/VGBaG7wwiSI/AAAAAAAGwTU/OhOGWbSvPFE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-agrE47snoPk/VGBaHhrOaHI/AAAAAAAGwTY/p7w1XK7hGdE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)