NMB Yapeleka huduma ya Chap Chap Mikoani
![](http://3.bp.blogspot.com/-Yu3wtrCtSGk/VV9ilxFzSzI/AAAAAAAHZQo/_F1bcTgvVpo/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Benki ya NMB imepokelewa kwa nguvu na wananchi wa mikoa ya Arusha, Morogoro, Dodoma, Singida, Mtwara na Tabora na kampeni yake ya kuhamasisha watanzania wengi zaidi wasio na akaunti kufungua kupitia NMB bila usumbufu wa kuleta taarifa nyingi zaidi ya kitambulisho.Huduma hiyo inayoitwa NMB Instant Account imekuwa kipenzi cha watanzania. Huduma hiyo inamuwezesha mtu yoyote anayetaka kufungua akaunti ya NMB kufanya hivyo kwa dakika 10 tu huku akiondoka na kadi ya ATM papo hapo. Pia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAZAM TV YAHITIMISHA DROO YA ‘MTONYO CHAP CHAP’
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Watanzania waombwa kutembelea banda la Access Bank lililopo sabasaba ili wajipatie mkopo wa chap chap
Wafanyakazi wa Access Benki, Frida Moshi akielezea machache wakati akihojiwa na Channel 10 kuelezea huduma wanazozitoa ndani ya banda lao namba nne lililoko katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Access Benki, Catherine Gyumi akielezea machache wakati akihojiwa na Channel 10 kuelezea huduma wanazozitoa ndani ya banda lao namba nne lililoko katika banda lao lililopo...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAOMBWA KUTEMBELEA BANDA LA ACCESS BENKI LILILOPO SABASABA ILI WAJIPATIE MKOPO WA CHAP CHAP
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Blad Key kuisambaza Chap Chap
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Juma Awadhi ‘Blad Key’, yupo katika maandalizi ya kuisambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Chap Chap’. Blad Key alishawahi kutamba na...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Lowassa atikisa Dodoma, achukua fomu aanza kusaka wadhamini “Chap Chap”, awazoa lukuki Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-XI55TSmPTBE/VXCKuKY22-I/AAAAAAAAUfk/lMX5cEApM-s/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
10 years ago
GPLNMB KUZINDUA HUDUMA MPYA YA MASTERCARD
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VF2_W9sMg6Y/VT5WuRtbvrI/AAAAAAAHTo4/D7Udfc2j7YA/s72-c/IMG_9927.jpg)
NMB YAPATA TUZO KWA KUCHANGIA ZAIDI HUDUMA ZA JAMII
Ushindi huo umetokana na utafiti uliofanywa na Taasisi ya utafiti wa huduma za maendeleo ya jamii - Research Centre for Social Development Services kwa kushirikiana na kampuni mwenza ya konsalt limited imetoa tuzo hiyo kwa NMB baada ya kujiridhisha kuwa ndiyo benki inayoongoza kwa kusaidia...
10 years ago
GPLNMB, AIRTEL WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NMB: Huduma ya bima kupitia benki hukuza biashara endelevu
![](https://1.bp.blogspot.com/-JhMsI8_aSYA/XnL8By7g5HI/AAAAAAALkXc/X2a5m6oGrx8W5KoAf5m2rnnQpbenRKglACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi, Biashara Ndogo na za Kati - Filbert Mponzi akizungumza na wateja waliohudhuria mkutano wa NMB Business Club kupata maoni yao kuhusu huduma na bidhaa za NMB.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kqh286useRs/XnL8CH7H3ZI/AAAAAAALkXg/JChpvrcld900VDfpwbzXXaUI-SeF3m_KACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Meneja wa Mikopo ya Nyumba NMB - Miranda Lutege akielezea mikopo ya nyumba wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QxxUOuVIq-k/XnL8CIKJVAI/AAAAAAALkXk/IdWH4m6mJwoWLDoZYQR3oAbj65f-N9bawCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Meneja Mwandamizi wa Bima wa Benki ya NMB Martine Massawe Akielezea kuhusu Bima ‘Bancassuarance’ wakati wa mkutano wa NMB Business Club.
======= ======= ==========
Benki ya NMB imesisitiza...