NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI 570

Mkuu wa Wilaya ya Busega Mkoani Mwanza Bw. Paulo Mzindakaya , akimpa mkono wa shukurani Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB Bw. Waziri Barnabas(kulia), baada ya kukabidhi madawati 240 yenye thamani ya shilingi milioni .... yaliyotolewa na benki ya NMB ukiwa ni msaada kwa Shule za Msingi Nyashimo na Nasa Wilayani Busega pamoja na Sukuma na Simakitongo Wilaya ya Magu ili kupunguza uhaba wa madawati katika shule hizo. Kila shule imepata madawati sitini.
Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mkoani Mara Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA MADAWATI HAI
Na...
10 years ago
MichuziNMB YATOA VIFAA VYA HOSPITALI NA MADAWATI - NANYUMBU
Msaada huo uliopokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu Mhe. Festo Kiswaga, ni mwendelezo wa sera ya NMB ya kuchangia huduma za jamii ili...
10 years ago
Michuzi16 Feb
BENKI YA NMB YAGAWA MSAADA WA MADAWATI NA MEZA ZA WALIMU WILAYANI HAI

Akiongea baada ya kukabidhi msaada huo,meneja wa benki hiyo kanda ya kaskazini, Vicky Bishubo alisema benki hiyo imeamua kutoa msaada wa madawati hayo baada ya kuona shule nyingi zikikosa madawati na wanafunzi wake wakikaa chini kwenye sakafu.
Alisema kutokana na hali hiyo wanafunzi...
10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM YATOA MSAADA WA MADAWATI SHINYANGA.


10 years ago
Michuzi06 Mar
TTCL yatoa Msaada wa Madawati kwa Shule ya Msingi Bunena,Bukoba

11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TPA yatoa msaada wa Madawati 110 shule ya msingi Mahumbika mkoani Lindi

Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) akikabidhi msaada wa madawati 110 yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika hivi karibuni katika kijiji cha Mahumbika kilichopo Lindi vijijini.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Ludovick Mwananzila (kulia) na Mkuu wa Bandari ya Mtwara, Absalom Bohela (kushoto) wakiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mahumbika wakati wa kukabidhi msaada wa...
10 years ago
Michuzi
Jamani Foundation yatoa msaada wa madawati 150 kwa shule tatu za Temeke

10 years ago
Dewji Blog11 Jan
TRA mkoa wa Singida, yatoa msaada wa madawati shule ya msingi Isanzu wilaya Mkalama
Meneja TRA mkoa wa Singida, Samson Jumbe (kushoto) akimkabidhi Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Isanzu wilaya ya Mkalama, Sadick Mbiro Abdallah, msaada wa madawati 25 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mbili. Katikati mwenye miwani ni Afisa elimu kwa umma (TRA),Zakaria.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
Meneja wa mamlaka ya mapato (TRA) Tanzania mkoani Singida, Samsoni Jumbe,amewahimiza viongozi/watendaji na watu wenye uwezo kiuchumi kujenga utamaduni wa...