Nonso Diobi atoa somo kwa wanaume walio kwenye ndoa
MWIGIZAJI wa Nigeria mwenye mvuto, Nonso Diobi, ametoa ushauri kwa wanaume ambao wameoa kuwajali wake zao. Katika mtandao wake, Diobi aliandika kwamba wanaume ambao wako kwenye ndoa wamekuwa wakiwanyanyasa wake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Apr
Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto
Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Tendo la uumbaji linapaswa kufanyika na watu wawili walio kwenye ndoa.
MIEZI mitano iliyopita niliandika makala tatu nikihimiza kuwa tuache kuita kitendo cha watu wawili wa jinsia tofauti kuweka miili yao kukiita kufanya mapenzi, kujamiana, kufanya tendo la ndoa, kukutana na...
10 years ago
Vijimambo04 Dec
WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA
![](http://api.ning.com/files/R5SqbRTCmAGYjnOUuQRpVPlImGQK0pHT1lhec0*suztA7Z68gr*I0Au4qIv57rOms50CDYi7upi8h6A9695daQl9CoNfux*o/mog08.jpg?width=650)
Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa.
Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na wachumba watakaotengeneza njia ya kuelekea kwenye ndoa.
Naomba katika hili nieleweke...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAEUgV2kVmIxtUwZcDKsr6e1zp*7Ahv7TDnDaP-es1KXA8YQCCJsz*Rh5tUm5HCF9ZxQR-mjXj473*UGWaEP-Wvs/Warembo.gif?width=650)
WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Mengi atoa somo kwa wanahabari
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
Habarileo28 Sep
JK atoa somo kwa jumuiya ya kimataifa
USHIRIKI wa pamoja wa mataifa mbalimbali katika utatuzi wa matatizo yanayozikumba nchi hizo, ndiyo njia kuu na ya kipekee katika karne ya leo ya kukabiliana na changamoto za maendeleo. Hayo yalisemwa na Rais Jakaya Kikwete juzi katika Chuo Kikuu cha Rutgers, katika mji wa New Jersey, nchini Marekani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crFVYQHWgolHeX9GnpKmggCv3bDRKDrkw6HTNC19A2hd1TT8rIaGmsMnKklXYFy3l2e1HPTP0S3L9MnNfCpWzA*/happiness.jpg?width=650)
HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WASICHANA
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Prof. Baregu atoa somo kwa wabunge
RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuwashauri wabunge kuboresha rasimu ya pili ya Katiba inayokwenda kujadiliwa hivi karibuni katika Bunge la Katiba, mjini Dodoma badala ya kuijadili kwa masilahi ya vyama vyao....
11 years ago
CloudsFM05 Jun
HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WANAFUNZI
MWANAMITINDO maarufu ulimwenguni na mshindi wa taji la Miss Tanzania mwaka 2001, Happiness Magese, kupitia mradi wake wa Millen Magese Foundation, leo amewapa semina wasichana wa shule za sekondari Mtakukuja na Kondo pamoja na wasichana wa shule za msingi Mtakuja na Mtongani juu ya ugonjwa wa Endometriosis ambao huwatesa wanawake wengi kwa maumivi makali na pengine ugumba.
Mwanamitindo huyo alitoa somo hilo kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mtakuja ambapo watu zaidi ya 1200 walielimishwa juu...