Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nonso Diobi atoa somo kwa wanaume walio kwenye ndoa

MWIGIZAJI wa Nigeria mwenye mvuto, Nonso Diobi, ametoa ushauri kwa wanaume ambao wameoa kuwajali wake zao. Katika mtandao wake, Diobi aliandika kwamba wanaume ambao wako kwenye ndoa wamekuwa wakiwanyanyasa wake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto

11098377_1412805635702978_1854371883_n

Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tendo la uumbaji linapaswa kufanyika na watu wawili walio kwenye ndoa.

MIEZI mitano iliyopita niliandika makala tatu nikihimiza kuwa tuache kuita kitendo cha watu wawili wa jinsia tofauti kuweka miili yao kukiita kufanya mapenzi, kujamiana, kufanya tendo la ndoa, kukutana na...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana.

Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa.

Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na wachumba watakaotengeneza njia ya kuelekea kwenye ndoa.

Naomba katika hili nieleweke...

 

10 years ago

GPL

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana. Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa. Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mengi atoa somo kwa wanahabari

MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Habarileo

JK atoa somo kwa jumuiya ya kimataifa

USHIRIKI wa pamoja wa mataifa mbalimbali katika utatuzi wa matatizo yanayozikumba nchi hizo, ndiyo njia kuu na ya kipekee katika karne ya leo ya kukabiliana na changamoto za maendeleo. Hayo yalisemwa na Rais Jakaya Kikwete juzi katika Chuo Kikuu cha Rutgers, katika mji wa New Jersey, nchini Marekani.

 

11 years ago

GPL

HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WASICHANA

Happines Magese akitoa semina kwa wanafunzi. Wanafunzi wakimsikiliza. Mwilimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mtakuja Beach, Beatrice Mhina nae akisistiza jambo kwenye semina…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Baregu atoa somo kwa wabunge

RAIS Jakaya Kikwete ametakiwa kuwashauri wabunge kuboresha rasimu ya pili ya Katiba inayokwenda kujadiliwa hivi karibuni katika Bunge la Katiba, mjini Dodoma badala ya kuijadili kwa masilahi ya vyama vyao....

 

11 years ago

CloudsFM

HAPPINESS MAGESE ATOA SOMO KWA WANAFUNZI

MWANAMITINDO maarufu ulimwenguni na mshindi wa taji la Miss Tanzania mwaka 2001, Happiness Magese, kupitia mradi wake wa Millen Magese Foundation, leo amewapa semina wasichana wa shule za sekondari Mtakukuja na Kondo pamoja na wasichana wa shule za msingi Mtakuja na Mtongani juu ya ugonjwa wa Endometriosis ambao huwatesa wanawake wengi kwa maumivi makali na pengine ugumba.Mwanamitindo huyo alitoa somo hilo kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mtakuja ambapo watu zaidi ya 1200 walielimishwa juu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani