Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tendo la uumbaji linapaswa kufanyika na watu wawili walio kwenye ndoa.

MIEZI mitano iliyopita niliandika makala tatu nikihimiza kuwa tuache kuita kitendo cha watu wawili wa jinsia tofauti kuweka miili yao kukiita kufanya mapenzi, kujamiana, kufanya tendo la ndoa, kukutana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Nonso Diobi atoa somo kwa wanaume walio kwenye ndoa

MWIGIZAJI wa Nigeria mwenye mvuto, Nonso Diobi, ametoa ushauri kwa wanaume ambao wameoa kuwajali wake zao. Katika mtandao wake, Diobi aliandika kwamba wanaume ambao wako kwenye ndoa wamekuwa wakiwanyanyasa wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kwa wanaume na wanawake walio kwenye ndoa tu ! kwa wanaotaraji kupata watoto

11098377_1412805635702978_1854371883_n

Pichani ni mwanadada, Hamisa Mabeto ambaye hivi karibuni amebahatika kupata mtoto. Awali ujauzitowa Hamisa Mabeto haukujulikana hadi pale alipopiga picha maalum za mavazi ya ujauzito ambazo zilisambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, ambapo hata hivyo baad ya kusambaa kwa picha hizo, siku chache, Hamisa alijifungua mtoto wake.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Msomaji wa Modewji blog, unaendelea kuperuzi leo tumewaletea dondoo kidogo katika suala la kuhimarisha familia ndani ya nyumba....

 

9 years ago

Mwananchi

Watu wawili wafa kwenye mkanyagano mkutano wa Magufuli Moro

Watu wawili wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa kutokana na mkanyagano uliotokea jana Uwanja wa Jamhuri, Morogoro katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

GPL

MATATIZO KATIKA TENDO LA NDOA

Tatizo hili huwapata wote wanawake na wanaume.  Tatizo katika tendo la ndoa ni pana sana, yapo matatizo ya jumla ambayo hutokea pande zote mbili na yapo matatizo yanayowapata wanawake peke yao na yapo yanayowapata wanaume peke yao. Matatizo haya yote tutakayoelezea huchunguzwa na kutibiwa hospitali kuanzia ngazi za hospitali za wilaya, mikoa hadi rufaa. MATATIZO KWA WANAWAKE
Kwa wanawake hukumbwa na matatizo mengi katika...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA

Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...

 

10 years ago

GPL

MAUMIVU UNAPOFANYA TENDO LA NDOA (DYSPAREUNIA)

Tatizo hili huwasumbua baadhi ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, yaani kuanzia miaka 18 hadi 40. Tatizo huweza kuanza ghafla au taratibu pale mwanamke anapofanya tendo. Maumivu haya hutokana na hali ya mabadiliko ukeni ambapo uke huwa mkavu daima au mwanamke anapata vipindi vya ukavu ukeni na katika mlango wa kizazi pia husababisha tatizo hili.
Maumivu yanaweza kuwa ndani ya kizazi, yaani wakati wa tendo unahisi kuna kitu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa

Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili

 

9 years ago

GPL

SABABU ZA WANAUME KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA - 5

Msomaji wetu tunaendelea na mada yetu kuhusiana na sababu zinazowafanya baadhi ya wanaume kutokuwa na hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Virutubisho ndani ya vyakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni Antioxidants, vitamin C, vitamin E, Potassium na zinc. Kirutubisho cha zinc kinaongeza mbegu kwa mwanaume (sperm count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Vyakula vyovyote vyenye virutubisho hivi vikiliwa humfanya...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA (DYSPAREU)

TAFITI za kitabibu zinaonyesha kuwa mwanamke asikiapo maumivu haya anatakiwa kuchukua hatua za haraka bila kuchelewa kabla afya yake ya uzazi haijazorota na kumletea ugumba. Maumivu wakati wa kushiriki tendo yanaashiria hatari katika afya ya uzazi iwapo yanakuwa na dalili zifuatazo: i. Iwapo anaumia tangu mwanzo wa tendo mpaka mwisho.
ii. Iwapo anaumia muda mchache au hata saa kadhaa baada ya tendo kukamilika.
iii. Iwapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani