NSSF yaanzisha Fao la Kifo kwa watanzania wa nje
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeanzisha fao la kifo kwa watanzania wanaoishi nje ya nchi, ambapo pia wategemezi wao wanne waliopo nchini, watanufaika nalo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
LAPF yaanzisha fao la Elimu
WANACHAMA wa Mfuko wa Penseni wa LAPF watanufaika na fao jipya la Elimu lilozinduliwa hivi karibuni hapa nchini. Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa...
10 years ago
Habarileo22 Apr
ZSSF yaanzisha fao la uzazi
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema kuanzishwa kwa fao la uzazi katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Zanzibar (ZSSF) ni matokeo ya juhudi za Serikali za kupambana na kupunguza vifo vya wanawake wajawazito na watoto nchini.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Tumaini yaanzisha vurugu NSSF Cup
10 years ago
Vijimambo24 Apr
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje amuaga Mwakilishi wa FAO nchini
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
Michuzi09 Apr
NSSF yatambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania waishio Ughaibuni
Kabla ya kuwasili kwake mh Rais shirika la NSSF lilipata fursa ya kutambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania wote waishio Ughaibuni ili kuwawezesha kupata unafuu wa kusafirisha mwili au mazishi pale popote alipo mara anapofariki ughaibuni. Pia Bima hio kusaidia matibabu kwa ndugu na jamaa kadhaa...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
HOJA BINAFSI: Nasaha kwa Watanzania wanaoulizia wafadhili wa nje
9 years ago
MichuziMHAGAMA: Msiajiri wataalam kutoka nje kwa kazi wanazoweza kufanya watanzania
10 years ago
GPL10 Sep
FRANCIA CHENGULA AZUNGUMZIA UPIGAJI KURA KWA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI