Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nundu ataka Tanga kufufua viwanda

Mbunge wa Tanga mjini, Omar Nundu amesema iko haja kwa serikali mkoani Tanga kuangalia uwezekano wa kufufua viwanda ili kuongeza ajira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA,KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya leo mjini Tanga. 
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya leo ambapo aliahidi kuboresha Bandari ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli ahidi kufufua viwanda mkoani Tanga, kuongeza ajira kwa vijana

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya jana mjini Tanga.  _MG_3583   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya jana ambapo aliahidi kuboresha...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA KUPUNGUZA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya leo mjini Tanga. 
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya leo ambapo aliahidi kuboresha Bandari ya...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo kufufua viwanda Zanzibar

Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kikipata ridhaa ya kuongoza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), kitafufua viwanda vilivyokufa na kutoka ajira kwa vijana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mghwira ataka Magufuli amtaje aliyeua viwanda

Mgombea urais kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Anna Mghwira amemtaka mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwaeleza Watanzania nani aliua viwanda kabla ya kuahidi Tanzania nyingine ya viwanda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye ataka viwanda vya ndani vilindwe

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema kuwa ni vigumu kuuondoa umaskini nchini kama serikali haitaongeza uuzaji wa bidhaa zake nje ya nchi. Alisema serikali pia lazima ivilinde viwanda vyake vichanga...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatenga hekta 1,363 kwaaajili ya ujenzi wa viwanda Tanga

Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini.
“tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali umekamilika” alisema Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA


Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatenga hekta 1,363 kwa aajili ya ujenzi wa viwanda Tanga

370 Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA SERIKALI kupitia Mamlaka ya Maeneo ya EPZ pamoja na Shirika la Maendeleo la TAifa (NDC) imeweka matayarisho na utaratibu wa kuvutia wawekezaji eneo la Tanga. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene (pichani) alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Omari Nundu, Mbunge wa Tanga Mjini. “tayari Mamlaka ya EPZ imetenga hekta 1,363 katika eneo la Neema mkoani Tanga kwaajili ya ujenzi wa viwanda na uthamini wa mali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani