NYERERE DAY ILIVYOBAMBA NDANI YA KIOTA CHA BURUDANI MAMIZ GATE WAY JIJINI MWANZA
Jana ilikuwa ni mapumziko kwa Watanzania ikiwa ni kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwasisi wa Taifa la Tanzania hayati baba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere aliefariki dunia Octoba 14,1999
Katika kuwajali wakazi wa Jiji la Mwanza, Mamiz Grand Resort pamoja na Mamiz Gate Way zilizopo Mkolani ziliwakutanisha watanzania pamoja na kuketi kwa ajili ya kutafakari siku hiyo.Kulikuwa na Live Band kutoka kwao Wasamalia Band. Kutana nao ndani ya Mamiz Gate Way kila Jumatano na Ijumaa, Pia kila...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNYERERE DAY MAMBO YOTE NI NDANI YA KIOTA CHA BURUDANI JIJINI MWANZA MAMIZ GRAND RESORT.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Athr67eHfg/VmvvpjexGII/AAAAAAAAwKc/5yMiL3Osw00/s72-c/DSCF0411.jpg)
Dj Bonny Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul kiota cha maraha cha Raphsody ndani ya Jengo la Viva Towers jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Athr67eHfg/VmvvpjexGII/AAAAAAAAwKc/5yMiL3Osw00/s640/DSCF0411.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhksZO6w7jU/VmvvrLs8z7I/AAAAAAAAwKs/Eu-a_IZZidA/s640/DSCF0431.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00352.jpg)
SHOW YA LADY JAY DEE NA ALI KIBA ILIVYOBAMBA KIOTA CHA M.O.G
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Show ya Lady Jay Dee na Ali Kiba ilivyobamba kiota cha M.O.G Bar & Restaurant
Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho.
Vijana watanashati wenye vipaji vya aina yake wa Machozi Band wakipiga Back Vocal kumpa sapoti Lady Jay Dee a.k.a Komando Binti...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jWPVQw2fqZw/VUhxZiCHjII/AAAAAAAHVbE/HYIBgjS3J2c/s72-c/unnamed1.jpg)
Kiota Kipya cha maraha ndani ya Bunju, jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-jWPVQw2fqZw/VUhxZiCHjII/AAAAAAAHVbE/HYIBgjS3J2c/s640/unnamed1.jpg)
Chimbo jipya kwa jina La Posto Bella Resort limefunguliwa nje kidogo ya mji wa Dar. Kwa wale wanaopenda maeneo private, utulivu na salama, hakuna haja ya kuumiza kichwa.
Kama inavyoonekana kwenye picha, pana garden nzuri iliyotengenezwa kwenye miinuko ya Bunju A, 1.2km toka Bagamoyo road, njia ya kuingia DogoDogo Centre, ikipata upepo baridiii unaotokea bahari ya Hindi.
Ni mazingira ya kiutu-uzima na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lgqNU6Bis0Y/VKf5_1G12RI/AAAAAAADUME/hGPZpp-mZMw/s72-c/a07ef3f2bb930d664cf4dc3b0a11a542.jpg)
DJ JERRY KOTTO NDANI YA KIOTA CHA HISAJE PARK BOKO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-lgqNU6Bis0Y/VKf5_1G12RI/AAAAAAADUME/hGPZpp-mZMw/s1600/a07ef3f2bb930d664cf4dc3b0a11a542.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--nKAPyaHrec/VKf6EeCuaeI/AAAAAAADUMM/BxwSxbhqeTw/s1600/6d5f1b1275879ede55dac412592193e8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-lgqNU6Bis0Y/VKf5_1G12RI/AAAAAAADUME/hGPZpp-mZMw/s72-c/a07ef3f2bb930d664cf4dc3b0a11a542.jpg)
DJ JERRY KOTTO NDANI YA KIOTA CHA HISAJE PARK BOKO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-lgqNU6Bis0Y/VKf5_1G12RI/AAAAAAADUME/hGPZpp-mZMw/s1600/a07ef3f2bb930d664cf4dc3b0a11a542.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--nKAPyaHrec/VKf6EeCuaeI/AAAAAAADUMM/BxwSxbhqeTw/s1600/6d5f1b1275879ede55dac412592193e8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C22b0WyJGls/VWvwDXblW0I/AAAAAAAC5UA/rqxM68AOuFg/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-C22b0WyJGls/VWvwDXblW0I/AAAAAAAC5UA/rqxM68AOuFg/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ibg7R9B3S7k/VbYgqo_JyqI/AAAAAAAHr98/tJpJcjMp-i8/s72-c/IMG_9930.jpeg)
CHUO CHA TAIFA CHA UTALII WAZINDUA KIOTA CHA BURUDANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ibg7R9B3S7k/VbYgqo_JyqI/AAAAAAAHr98/tJpJcjMp-i8/s640/IMG_9930.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g_5Abkw9y28/VbYfl0uO5vI/AAAAAAAHr8U/UmlphMKXyRg/s640/IMG_0011.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oP_DCGARAow/VbYfnTn-gMI/AAAAAAAHr8c/HnKMyjQ12qA/s640/IMG_0021.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RaPUNFopHhA/VbYfuq0t5pI/AAAAAAAHr8k/31Yc6Fj43gI/s640/IMG_0041.jpg)