Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYERERE DAY MAMBO YOTE NI NDANI YA KIOTA CHA BURUDANI JIJINI MWANZA MAMIZ GRAND RESORT.

Ni mwaka wa 16 tangu Bata wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipoiaga dunia (Actoba 14,1999) ambapo hii leo Watanzania wote wanaungana pamoja kwa ajili ya kutafakari miaka hiyo 16 bila uwepo wa mwasisi wa Taifa lao.Kwa kutambua umuhimu wa siku hii, Mamiz Grand Resort na Mamiz Gate Way zilizopo Mkolani Jijini Mwanza wamekuandalia mazingira mazuri kwa ajili ya mapumziko yako wewe pamoja na ndugu, jamaa na marafiki zako.R.I.P MWL.NYERERE.Kwa wale wapenzi wa muziki wa band, burudani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

NYERERE DAY ILIVYOBAMBA NDANI YA KIOTA CHA BURUDANI MAMIZ GATE WAY JIJINI MWANZA

Jana ilikuwa ni mapumziko kwa Watanzania ikiwa ni kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mwasisi wa Taifa la Tanzania hayati baba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere aliefariki dunia Octoba 14,1999
Katika kuwajali wakazi wa Jiji la Mwanza, Mamiz Grand Resort pamoja na Mamiz Gate Way zilizopo Mkolani ziliwakutanisha watanzania pamoja na kuketi kwa ajili ya kutafakari siku hiyo.Kulikuwa na Live Band kutoka kwao Wasamalia Band. Kutana nao ndani ya Mamiz Gate Way kila Jumatano na Ijumaa, Pia kila...

 

9 years ago

Vijimambo

WANAFUNZI WA GREEN VIEW ENGLISH MEDIUM YA JIJINI MWANZA WAFURAHIA MICHEZO ILIYOPO MAMIZ GRAND RESORT

Hakika ilikuwa ni Furasa isiyo na Kifani kwa Wanafunzi wa Awali kutoka Shule ya Msingi Green View English Medium ya Jijini Mwanza baada ya kufika katika mandhari iliyopo ndani ya Mamiz Grand Resort Mkolani Jijini Mwanza kwa ajili ya ziara yao ya Kimasomo (Study Tour) siku ya juzi Octoba 16,2015.
Na:George Binagi-GB PazzoWanafunzi hao walifurahia michezo ya aina mbalimbali inayopatikana Mamiz Grand Resort kama ambavyo Kamera ya BMG (Binagi Media Group) ilivyonasa matukio ya hapa na pale....

 

9 years ago

Michuzi

MAMIZ GRAND RESORT INAKULETEA MIAKA 18 YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NA NGOMA ZAO MPYA

Tarehe 22 Oktoba, 2015 Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege alipata fursa ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mhe. Prof. Arthur Peter Mutharika katika Ikulu ya Kamuzu Palace mjini Lilongwe.Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege akipigiwa nyimbo za taifa za Malawi na Tanzania huku akishuhudiwa na maafisa Ubalozi.

Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake.Mkuu wa Itifaki Bw. Harvey Chigumula akimtambulisha Mhe. Balozi Victoria Richard Mwakasege...

 

9 years ago

Michuzi

Dj Bonny Love alivyokonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika usiku wa Heart & Soul kiota cha maraha cha Raphsody ndani ya Jengo la Viva Towers jijini Dar

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo la Viva Towers katikati ya Jiji la Dar. Dj Bon Love na maDJ wengine wakali hukutana pamoja kwenye kiota hicho ili kukonga nyoyo za wapenda Burudani kutoka maeneo mbalimbali.Usiku huo uliwezeswa kwa Udhanimi Mkubwa wa Kilaji ya Heineken.Baadhi ya Wadua wa Burudani wakiwepo DJ. Venture na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yatikisa jiji la Mwanza Pasaka kwenye kiota kipya cha Jembe Beach Resort

DSC_0028

Wadau wa Jembe Beach Resort ndani ya kiota kipya cha kipekee chenye viwango vya kimataifa wakisubiri kuanza kwa burudani ya Skylight Band ndani ya jiji la Mwanza kwenye sikukuu ya Pasaka.

DSC_0031

Sam Mapenzi wa Skylight Band akishow love na wadau wa ukweli ndani ya Jembe Beach Resort.

DSC_0041

Mdau Rama wa Villa Park ya jijini Mwanza akipata Ukodak na Hellen Kazimoto wa Jembe Beach Resort wakati wa sherehe za Pasaka.

DSC_0052

Counter ya Jembe Beach Resort ikiwa imesheheni vinywaji vya kila aina.

20140420_153642

Mandhari ya...

 

10 years ago

Michuzi

Kiota Kipya cha maraha ndani ya Bunju, jijini Dar es salaam

Posto Bella Resort, Kiota Kipya cha maraha pande za  ya Bunju jijini  Dar es salaam.

Chimbo jipya kwa jina La Posto Bella Resort limefunguliwa nje kidogo ya mji wa Dar. Kwa wale wanaopenda maeneo private, utulivu na salama, hakuna haja ya kuumiza kichwa. 
Kama inavyoonekana kwenye picha, pana garden nzuri iliyotengenezwa kwenye miinuko ya Bunju A, 1.2km toka Bagamoyo road, njia ya kuingia DogoDogo Centre, ikipata upepo baridiii unaotokea bahari ya Hindi. 
Ni mazingira ya kiutu-uzima na...

 

10 years ago

Michuzi

DJ JERRY KOTTO NDANI YA KIOTA CHA HISAJE PARK BOKO JIJINI DAR

 Dj Jerry Kotto akipata picha na kamera ya Vijimambo ndani ya kiota cha Hisaje Park kilichopo Boko jijini Dar es Salaam kiota maarufu kwa nyimbo za zamani (old school) kila siku kuanzia Jumanne hadi Jumamosi na hakuna kiingilio.dj Jerry Kotto ni moja kati ya maDj wa miaka mingi hapa nchini.Mitambo ya kisasa ndani ya kiota cha Hisaje Park Karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

DJ JERRY KOTTO NDANI YA KIOTA CHA HISAJE PARK BOKO JIJINI DAR ES SALAAM

 Dj Jerry Kotto dj wako wa miaka mingi akipata picha na kamera ya Vijimambo ndani ya kiota cha Hisaje Park kilichopo Boko jijini Dar es Salaam kiota maarufu kwa nyimbo za zamani (old school) kila siku kuanzia Jumanne hadi Jumamosi na hakuna kiingilio.Mitambo ya kisasa ndani ya kiota cha Hisaje Park Karibuni.

 

10 years ago

Vijimambo

TAMASHA LA KOMAA CONCERT LILIVYOFANA NDANI YA KIOTA CHA MARAHA CHA DAR LIVE JIJINI DAR

 Uongozi pamoja na Wafanyakazi wa kituo cha radio ya EFM 93.7 kwa pamoja wakikata keki kusherehekea kutimiza mwaka mmoja wa kituo hicho ambacho kwa sasa kinakuja kwa kasi jijini Dar na kwingineko,hafla hiyo ilikwenda sambamba na kuadhimisha miaka 16 ya msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Juma Nature,katika tamasha lililoitwa  KOMAA CONCERT,ambalo lilifanyika ndani ya kiota cha maraha cha Dar Live,Mbagala jijini Dar mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na maelfu ya mashabiki na wapenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani