NYUMBA INAUZWA GONGO LA MBOTO MWISHO WA LAMI
Nyumba inauzwa iko, Gongo la Mboto mwisho wa Lawi,
Mita 50 kutoka barabara kuu,
Gari inafika mpaka mlangoni bila matatizo yeyote,
Nyumba ina vymba vitatu, kimoja master bedroom,
Inajiko, dinning na sebure kubwa na uwa mkubwa
Nyumba ina Umeme na Ac 2,
Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715 001 975 au 0787 999 774
Muonekano wa mbele wa nyumba hiyo...
Muonekano wa mpaka wa nyumba hiyo.
Nguzo ya umeme...ambayo ipo katika ukuta.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TKJ4LewWkMc/VLFdbDdYvjI/AAAAAAAG8jk/ezxVtqxjCaA/s72-c/jw1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GONGO LA MBOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TKJ4LewWkMc/VLFdbDdYvjI/AAAAAAAG8jk/ezxVtqxjCaA/s640/jw1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsOd-OgtVTY/VLFdsWTp-rI/AAAAAAAG8lQ/6Di1ohelyng/s640/jw3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xXDhvxaZ7BI/VLFdugwltrI/AAAAAAAG8lw/SRNqy_Beef0/s72-c/jw8.jpg)
JK AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GONGO LA MBOTO, DAR ES SALAAM, LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-xXDhvxaZ7BI/VLFdugwltrI/AAAAAAAG8lw/SRNqy_Beef0/s1600/jw8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsOd-OgtVTY/VLFdsWTp-rI/AAAAAAAG8lQ/6Di1ohelyng/s1600/jw3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
Rais Kikwete azindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto, Dar es Salaam
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa China nchini Mhe Lu Youqing alipowasili kuzindua nyumba za kisasa za makazi ya wanajeshi Gongo la Mboto jijini Dar es salaam Jumamosi 10, 2015. Wengine ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Dkt Hussein Mwinyi, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe Said Meck Sadick,
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-furRQU3rZIs/VJkxaQD5ofI/AAAAAAAG5VE/M765_Z4zkd8/s72-c/unnamed..png)
NMB YAZINDUA TAWI GONGO LA MBOTO
Tawi hili linatoa huduma kwa wakazi wa Chanika,Pugu,Majohe,Kitunda,Mongo la ndege na maeneo yote ya karibu.Vile vile huduma zote za kibenki zinapatikana katika tawi hili zikiwamo ufunguzi wa akaunti mbali mbali,Huduma za mikopo pamoja na huduma za...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wanajeshi mabomu ya Gongo la mboto wakumbusha fidia
WANAJESHI 82 wa Kambi ya 511 ya Kikosi cha Jeshi waliopoteza mali zao binafsi katika tukio la mlipuko wa mabomu Gongo la Mboto, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ulinzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HELIKOPTA YAANGUKA GONGO LA MBOTO JIJINI DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11221720_1245486758810207_348775349991625397_n.jpg)
LOWASSA APANDA DALADALA KWENDA GONGO LA MBOTO, DAR
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0485.jpg?width=650)
MEYA JERRY SLAA AIZAWADIA PIKIPIKI TIMU GONGO LA MBOTO