Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MEYA JERRY SLAA AIZAWADIA PIKIPIKI TIMU GONGO LA MBOTO

Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (mwenye miwani) akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa kombe la pikipiki lililoandaliwa na Lucas Lutanilwa. Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (mwenye miwani) akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa kombe la pikipiki timu ya Mazombi FC...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Meya Jerry Slaa atekeleza ahadi alizozitoa jimbo la Ukonga

03

Diwani wa  kata ya  Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akiwasili mkutanoni kwa ajili ya kuwahutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa amezitoa.

p10

Baadhi ya madiwani na viongozi wa CCM kata ya Ukonga wakiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa muda mfupi baadaya kuhutubia mkuatano wa hadhara...

 

10 years ago

Dewji Blog

Meya Jerry Slaa wa Ilala atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Ukonga

Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Alhaji Adam Kimbisa.

Diwani wa  kata ya  Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Mstahiki Meya wa Ilala Mhe Jerry Slaa aanda futari kwa wadau mbalimbali

 Waalikwa wakipakua futari iliyoandaliwa na Meya wa Ilala Mstahiki Jerry Silaa katika ukumbi wa Arnatouglou jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Julai 22, 2014 ambapo wadau kutoka sehemu mbalimbali walihudhuria.  Kina mama walikuwepo pia Wadau mbalimbali walihudhuria Kaimu Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akitoa neno la shukuraniMstahiki Meya wa Ilala alitoa zawadi kwa kila mgeni aliyealikwa. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

MEYA JERRY SLAA ATEKELEZA AHADI ZKE, ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA

Diwani wa  kata ya  Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa akihutubia wananchi katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa amezitoa. Mmoja wa wawakilishi wa kikundi cha akina mama akipokea fedha kwa niaba ya wenzake  kutoka kwa Meya wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Michuzi

meya wa ilala mstahiki jerry slaa atoa wito wananchi kuzingatia mabadiliko ya baadhi ya njia ya mabasi dar es salaam

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Bw. Jerry Silaa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati akitoa wito kwa wananchi jijini kuzingatia alama mpya za mabadiliko ya baadhi ya njia ya za mabasi ya daladala na magari madogo yanayotazamiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu.  Pamoja na matayarisho ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT), mabadiliko hayo yanatarajiwa kupunguza msongamano katika jiji hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa hiyo Themi Luther(kulia) wakipitia michoro ya usanifu ya majengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro, Alipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SLAA ASIMAMISHA UJENZI WA MAJENGO YALIYOPO MAKUTANO YA AGGREY & INDRAGADHI KWA KUKIUKA MICHORO YA UJENZI

Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa hiyo Themi Luther(kulia) wakipitia michoro ya usanifu ya majengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro, Alipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana. Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA TAWI GONGO LA MBOTO

Benki ya NMB leo imefungua tawi jipya maeneo ya Gongo la mboto- Dar es Salaam tawi linalokadiriwa kuhudumia zaidi ya wateja 300 kwa siku. Tawi hili lipo karibu na kituo cha dala dala cha Mzambarauni mkabala na kituo cha mafuta Oil com.
Tawi hili linatoa huduma kwa wakazi wa Chanika,Pugu,Majohe,Kitunda,Mongo la ndege na maeneo yote ya karibu.Vile vile huduma zote za kibenki zinapatikana katika tawi hili zikiwamo ufunguzi wa akaunti mbali mbali,Huduma za mikopo pamoja na huduma za...

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA INAUZWA GONGO LA MBOTO MWISHO WA LAMI

Nyumba inauzwa iko, Gongo la Mboto mwisho wa Lawi, Mita 50 kutoka barabara kuu, Gari inafika mpaka mlangoni bila matatizo yeyote, Nyumba ina vymba vitatu, kimoja master bedroom, Inajiko, dinning na sebure kubwa na uwa mkubwa Nyumba ina Umeme na Ac 2, Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715 001 975 au 0787 999 774 Muonekano wa mbele wa nyumba hiyo... Muonekano wa mpaka wa nyumba hiyo. Nguzo ya umeme...ambayo ipo katika ukuta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani