Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMBA YA LULU YADAIWA KUGOMA SOKONI!

Mayasa mariwata ULE mjengo wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambao alimzawadia mama yake Lucresia Karugila, imedaiwa umeshindikana kuuzika baada ya kutangaza kuupiga bei ya shilingi milioni hamsini. Mjengo wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Kwa mujibu wa chanzo makini, Lulu na mama yake walifikia uamuzi wa kuupiga bei mjengo huo uliopo maeneo ya Kimara Saranga jijini Dar baada ya kuona...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Mjengo wa Lulu Yadaiwa Kigoma Sokoni

ULE mjengo wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambao alimzawadia mama yake Lucresia Karugila, imedaiwa umeshindikana kuuzika baada ya kutangaza kuupiga bei ya shilingi milioni hamsini.

Kwa mujibu wa chanzo makini, Lulu na mama yake walifikia uamuzi wa kuupiga bei mjengo huo uliopo maeneo ya Kimara Saranga jijini Dar baada ya kuona mazingira ya eneo hilo si mazuri hususan kipindi cha mvua kutofikika kwa urahisi.

“Wamedhamiria kuipiga bei nyumba hiyo lakini wanashindwana na...

 

10 years ago

Bongo Movies

MAPYA YAJITOKEZA: Yadaiwa kuwa “Mpenzi” wa LULU aliyefariki alikuwa mume wa mtu.

Habari zinazoendelea kutufikia kwenye meza yetu zinadai kuwa marehemu Seki aliyefariki ghafla hapo jana  ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wa mwanadada Elizabeth Michael – LULU alikuwa ni mume wa mtu na ameacha mjane na watoto.

Kwa mujibu wa mtoa habari wetu huyu marehemu Lusekelo maarufu kama seki alikuwa ni mfanyabiashara hapa mjini mwenye biashara kadhaa na alikuwa na uwezo mzuri tu wa kifedha.

Habari za uhakika zinasema kuwa Chanzo cha kifo cha Bw Seck kilisababishwa na kumuokoa mtoto...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaingiza sokoni nyumba 130

NYUMBA 130 kati ya 851 zilizojengwa Dar es Salaam eneo la Bunju A katika mradi maalum wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma, zimefikia hatua ya kukamilishwa.

 

10 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo

Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.

IMG_6776

 Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...

 

9 years ago

GPL

UTATA NYUMBA ALIYOJENGA LULU

Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani HALI si shwari! Mjengo wa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliopo Kimara Saranga, Dar ambao alisema amemzawadia mama yake mzazi, Lucresia Karugila, umezua utata baada ya madai kwamba eti umeshauzwa. Kwa mujibu wa chanzo ambacho ni jirani mmoja wa eneo hilo, mjengo huo umeuzwa kutokana na uamuzi wa Lulu mwenyewe bila kujulikana sababu licha ya manenomaneno kwamba, mama...

 

10 years ago

GPL

LULU AMZAWADIA MAMA’KE NYUMBA

Stori: Musa Mateja
Imekaa poa sana! Taarifa tamu ikufikie kwamba sexy lady wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ amemfanyia mama yake, Lucresia Karugila kufuru ya kufa mtu kisha kumzawadia ile nyumba yake anayoimalizia iliyopo Kimara jijini Dar. Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’. Tukio hilo la kupongezwa lilichukua nafasi usiku wa Januari Mosi, mwaka huu ndani ya...

 

11 years ago

GPL

NYUMBA ALIYOIJENGA LULU YATUMIKA KWA KUTAPELI

Mjengo wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliopo Mbezi Temboni-Salanga jijini Dar es Salaam umeingia kwenye lawama kufuatia madai kwamba, unatumika kwa kutapeli watu wanaotaka kununua nyumba maeneo hayo. Mjengo wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliopo Mbezi Temboni-Salanga jijini Dar es Salaam.… ...

 

9 years ago

GPL

MADAI YA KUUZA NYUMBA, MAMA LULU AWAKA!

Mama mzazi wa staa grade one wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila. Imelda Mtema
Acheni hizo! Mama mzazi wa staa grade one wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila, amewaka kufuatia madai ya kuuza nyumba ya aliyozawadia na mtoto wake huyo iliyopo Kimara- Saranga jijini Dar akisema kamwe hawezi kuiuza. ....Akiwa na mwanaye. Akizungumza na gazeti namba moja la mastaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani