NYUMBA ALIYOIJENGA LULU YATUMIKA KWA KUTAPELI
![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0LGI1R26APRw1pLlu5kPGe5rHkJuHMaDglwOlZphsI*MjXlq8nc3kE3wic0JDADxKF4MxYok-Prw4kC3Qq4RHv/LULU.jpg?width=650)
Mjengo wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliopo Mbezi Temboni-Salanga jijini Dar es Salaam umeingia kwenye lawama kufuatia madai kwamba, unatumika kwa kutapeli watu wanaotaka kununua nyumba maeneo hayo. Mjengo wa staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliopo Mbezi Temboni-Salanga jijini Dar es Salaam.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s72-c/Lulu-na-mama.png)
LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE
![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s640/Lulu-na-mama.png)
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JWVmD*3ooUc46fJP8h0BhNTHUFg683JLo0Kg*PBZjxA6rL2cHh9qCBF1ZzT-GSWGZLEUFi4qzkA4e4sdVrNEWj0ZJtQYx-Dj/lulu.jpg)
UTATA NYUMBA ALIYOJENGA LULU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaEyy*2seFfBSsXhkjhm*xFEtl5Lb0ZVIMiSlmxwg-XPmZRp4HgDx3OagzNzshY6YqZ4AOADEWWcjE0a7vCS6VT0/LULU.jpg)
LULU AMZAWADIA MAMA’KE NYUMBA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzYeVkjuWyTzSvBaSgOz9yQXcTLGL9fV*D4psijdUl1lnVvvChxcIabjf3sjAaVk302DTQl8B-0-Xavt3rbTb*g/Lulu.jpg?width=650)
NYUMBA YA LULU YADAIWA KUGOMA SOKONI!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mamalulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUUZA NYUMBA, MAMA LULU AWAKA!
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Jela kwa kutumia jina la Nape kutapeli
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-
OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.