NYUMBANI NA DIASPORA TBC1- EPISODE SEVEN
![](http://img.youtube.com/vi/XgYtivyjLQ8/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gG63VjA6B34/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gG63VjA6B34/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/N4tjv0xdR3c/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4KOJORmCQOM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kumekucha kipindi kipya cha ‘NYUMBANI NA DIASPORA..! ndani ya TBC1 Ijumaa hii Juni 26
Mwanzilishi na mtayarishaji wa kipindi cha NYUMBANI NA DIASPORA, Bw. Maggid Mjengwa (katikati) akitambulisha rasmi kipindi hicho cha televisheni kitakachokuwa kikiruka kila Ijumaa kupitia TBC1. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Diaspora Initiative, Emmanuel Mwachullah na kushoto ni Mkurugenzi wa Diaspora, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi.Rosemary Jairo walipokuwa katika mkutano huo katika ukumbi wa Idara habari Maelezo mapema leo Juni 25.
Na Andrew...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XgYtivyjLQ8/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/XgYtivyjLQ8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MW56Ws7Qp0c/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...