Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama: Nitakabiliana na ukosefu wa usawa

Rais Barrack Obama amesema atachukuwa hatua, hata bila idhini ya bunge la Congress kukabiliana na ukosefu wa usawa Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Tz:usawa wa maarifa shuleni

Matumizi ya vitabu yenye maudhui tofauti katika darasa moja katika shule, Je kuna usawa wa maarifa?

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa usawa wa jinsia

BBC iliendesha mjadala wa Global Questions Nairobi ambapo Waafrika wa kawaida walihusika kuuliza jopo la wataalam jinsi wanawake wanaweza kushiriki kikamilifu kushawishi maamuzi na kubadili hali ya baadaye ya bara Afrika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Usawa wa Kijinsia

Mjadala huu uliangazia usawa wa kijinsia katika mfumo wa serikali za ugatuzi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mjadala kuhusu usawa wa jinsia

Usawa wa jinsia na kuwezesha wanawake yamekuwa masuala makuu barani Afrika, lakini kumekuwa na hisia tofauti kuhusu juhudi za wanawake kupigania usawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pengo la usawa wa kijinsia lapungua

Pengo lililopo kati ya wanaume na wanawake linaendelea kuzibika katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni,

 

10 years ago

BBCSwahili

Usawa wa matumizi ya mtandao kuangaziwa

Mwenyekiti wa shirika linalopigania haki ya mawasiliano nchini Marekani FCC amesema anapendekeza mikakati ya ulinzi wa mitandao

 

9 years ago

BBCSwahili

Umehakikishiwa usawa kiasi gani?

Kwa kutumia kikokotozi hiki cha BBC, unaweza kujua hali ya pengo la usawa wa jinsia nchini mwako, na pale ulipo ukijilinganisha na wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani