Odinga ataka walinda amani watumwe Burundi
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametaka kutumwa kikosi maalum cha kulinda amani Nchini Burundi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
AU kutuma walinda amani Burundi
Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
UN yawazia kutuma walinda amani Burundi
Umoja wa Mataifa unatafakari wazo la kutuma walinda amani nchini Burundi iwapo machafuko nchini humo yatazidi na kuwa mapigano ya kimbari.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Na Mwandishi Maalum, New York.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Walinda amani wasambazwa-Syria
Umoja wa mataifa imesambaza maelfu ya walinda amani huko Syria katika eneo la Golan ambalo linamilikiwa na Israel.
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
Walinda amani 2 wa UN wauwa Mali
Walinda amani 2 UN wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi la bomu dhidi ya benki pekee ya serikali mjini Kidal Kaskazini mwa Mali.
11 years ago
Mwananchi30 May
Mwinyi: Hatutaacha kupeleka walinda amani
Serikali imesema itaendelea kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika maeneo yenye migogoro.
11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Walinda amani zaidi wahitajika CAR
Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Walinda amani wa Afrika Kusini kuadhibiwa
Wanajeshi hamsimi wa Afrika Kusini waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha UN kinacholinda amani Congo wameagizwa kurejea nyumbani.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s72-c/UN%2B1.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s640/UN%2B1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania