Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU kutuma walinda amani Burundi

Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

UN yawazia kutuma walinda amani Burundi

Umoja wa Mataifa unatafakari wazo la kutuma walinda amani nchini Burundi iwapo machafuko nchini humo yatazidi na kuwa mapigano ya kimbari.

 

9 years ago

BBCSwahili

Odinga ataka walinda amani watumwe Burundi

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametaka kutumwa kikosi maalum cha kulinda amani Nchini Burundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Walinda amani wasambazwa-Syria

Umoja wa mataifa imesambaza maelfu ya walinda amani huko Syria katika eneo la Golan ambalo linamilikiwa na Israel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinda amani 2 wa UN wauwa Mali

Walinda amani 2 UN wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi la bomu dhidi ya benki pekee ya serikali mjini Kidal Kaskazini mwa Mali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Walinda amani wa Afrika Kusini kuadhibiwa

Wanajeshi hamsimi wa Afrika Kusini waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha UN kinacholinda amani Congo wameagizwa kurejea nyumbani.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwinyi: Hatutaacha kupeleka walinda amani

Serikali imesema itaendelea kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika maeneo yenye migogoro.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinda amani zaidi wahitajika CAR

Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon

 

11 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar

Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi akihotubia katika maadhimisho ya siku ya walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi (hayupo pichani). Dkt. Mwinyi akiweka Shada katika mnara wa Mashujaa kuashiria kuwakumbuka walindaamani waliopoteza maisha duniani kote. Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha Nchi zao hapa nchin nao walihudhuria maadhimisho hayo Waziri waulinzi Dkt. Mwinyi akiagana na mabalozi...

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014

 Maura Mwingira, Charge d' affaires a.i wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akipokea kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa ( DPKO ) Bw. Harves Ladsous, Medali Maalum ya Dag Hammarskjold ambazo wametunukiwa Mashujaa wanne walinda Amani kutoka JWTZ ambao walipoteza maisha mwaka 2014 wakati wakitekeleza majukumu yao. Umoja wa Mataifa umeitenga Mei 29 kama siku ya Kimataifa ya kuwakumbuka na kuwaenzi walinda amani ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani