Walinda amani wa Afrika Kusini kuadhibiwa
Wanajeshi hamsimi wa Afrika Kusini waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha UN kinacholinda amani Congo wameagizwa kurejea nyumbani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
Walinda amani 2 wa UN wauwa Mali
Walinda amani 2 UN wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi la bomu dhidi ya benki pekee ya serikali mjini Kidal Kaskazini mwa Mali.
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Walinda amani wasambazwa-Syria
Umoja wa mataifa imesambaza maelfu ya walinda amani huko Syria katika eneo la Golan ambalo linamilikiwa na Israel.
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
AU kutuma walinda amani Burundi
Muungano wa Afrika umetangaza mpango wa kutuma walinda amani nchini Burundi kuzuia machafuko zaidi nchini humo.
11 years ago
Mwananchi30 May
Mwinyi: Hatutaacha kupeleka walinda amani
Serikali imesema itaendelea kupeleka wanajeshi wake kulinda amani katika maeneo yenye migogoro.
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
UN yawazia kutuma walinda amani Burundi
Umoja wa Mataifa unatafakari wazo la kutuma walinda amani nchini Burundi iwapo machafuko nchini humo yatazidi na kuwa mapigano ya kimbari.
11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Walinda amani zaidi wahitajika CAR
Wanajeshi zaidi wa Ufaransa walishika doria katika mji mkuu Bangui huku wengine wakiingia nchini humo kupitia Cameroon
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Odinga ataka walinda amani watumwe Burundi
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametaka kutumwa kikosi maalum cha kulinda amani Nchini Burundi.
11 years ago
MichuziMaadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar
Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi akihotubia katika maadhimisho ya siku ya walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi (hayupo pichani). Dkt. Mwinyi akiweka Shada katika mnara wa Mashujaa kuashiria kuwakumbuka walindaamani waliopoteza maisha duniani kote. Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha Nchi zao hapa nchin nao walihudhuria maadhimisho hayo Waziri waulinzi Dkt. Mwinyi akiagana na mabalozi...
Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi (hayupo pichani). Dkt. Mwinyi akiweka Shada katika mnara wa Mashujaa kuashiria kuwakumbuka walindaamani waliopoteza maisha duniani kote. Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha Nchi zao hapa nchin nao walihudhuria maadhimisho hayo Waziri waulinzi Dkt. Mwinyi akiagana na mabalozi...
10 years ago
VijimamboUMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014
Maura Mwingira, Charge d' affaires a.i wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akipokea kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa ( DPKO ) Bw. Harves Ladsous, Medali Maalum ya Dag Hammarskjold ambazo wametunukiwa Mashujaa wanne walinda Amani kutoka JWTZ ambao walipoteza maisha mwaka 2014 wakati wakitekeleza majukumu yao. Umoja wa Mataifa umeitenga Mei 29 kama siku ya Kimataifa ya kuwakumbuka na kuwaenzi walinda amani ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania