Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pakistan:elimu afya ya uzazi ni ngumu

Ngono ni neno linaloonekana kuwa haramu nchini Pakistan, neno hilo huhusishwa na dhambi,mtu huonekana mkosefu na kwa wengi ni tendo la aibu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Utoaji elimu ya afya ya uzazi na ujinsia wafanikiwa

DSC09685

Mratiibu msaidizi wa polisi mkoa wa Singida,Irene Mbwatila,(anayeangalia kamera),akizungumza na timu ya pamoja ya maafisa wa shirika la HAPA,YMC na RFSU, inayofanya utafiti juu ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia.

DSC09706

Baadhi ya wanaume wakiwa na wake zao wakazi wa kijiji cha Ntuntu wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, wakiwa kwenye foleni katika kliniki ya kijijini hapo,wakisubiri kuingia kumwona muuguzi. Elimu iliyotolewa kwa pamoja na mashirika ya HAPA na...

 

10 years ago

Michuzi

Waandishi wa Mitandao ya Kijamii Wapewa Elimu ya Afya na Uzazi

Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Nguke Mwakatundu akifungua semina hiyo leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Nguke Mwakatundu akifungua semina hiyo leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Sunday Dominico akiwasilisha mada katika semina hiyo leo ofisi za WLF. Mkurugenzi wa Huduma za Kliniki wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Dk. Sunday Dominico akiwasilisha mada katika semina hiyo leo ofisi za WLF,Mikochini Jijini Dar.Meneja Mawasiliano wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Victoria Marijani.Meneja Mawasiliano wa Taasisi ya Kupunguza Matatizo ya Mapafu Duniani iliyopo nchini Tanzania (WLF), Victoria...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu ya afya ya uzazi inaepusha wanafunzi dhidi ya tamaa mbaya

>Ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana husababisha mimba katika umri mdogo.Hii inatokana na ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi unatokana na imani potofu miongoni mwa jamii kwamba, kuwapatia elimu hiyo vijana ni sawa na kumruhusu kujihusisha na vitendo vya ngono.

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI SHULE YA SEKONDARI KITEFU WILAYANI ARUMERU WAPEWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI


Na Jusline Marco-Arusha

Zaidi ya wanafunzi 200 walio katika shule ya sekondari Kitefu Wilayani Arumeru wamepatiwa elimu ya afya ya uzazi itakayo wasaidie kuepuka mimba za utotoni na kuwezesha kufikia malengo yao kielimu.

Elimu hiyo ambayo imetolewa na shirika la Center for women and Girls Empowerment kutoka Mkoani Arusha ni kutokana na kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wanaopata mimba za utotoni kutokana kutopata elimu ambayo itamuwezesha kujikinga na mimba za utotoni.

Akizungumza katika...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA TAMASHA LA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA KATIKA SHULE YA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Injinia Evarist Ndikilo akimpokea Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete wakati alipowasili kwenye uwanja wa mpira wa Shule ya Sekondari Nyamisati iliyoko wilayani Rufiji kwa helicopter tarehe 2.5.2015. Mama Salma alikwenda Rufiji kwenye tamasha la Elimu ya Afya ya Uzazi kwa vijana katika Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama ambayo inamilikiwa na Taasisi ya WAMA ambapo Mkuu wa Mkoa wa Pwani alikuwa Mgeni Rasmi.Mke wa Rais...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahudumu wa afya wauawa Pakistan

Watu waliojihami katika mji wa Karachi nchini Pakistan, wamewaua kwa kuwapiga risasi wahudumu 3 wa afya wakiwemo wanawake 2 waliokuwa wanatoa chanjo ya Polio.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uzazi, elimu au kazi?

Kwa nini wanawake wanachelewa kuzaa?Ni nini ukweli kuhusu umri unaofaa kwa wanawake kupata watoto?

 

10 years ago

Tanzania Daima

KCB yachangia kampeni afya ya uzazi

BENKI ya Biashara ya Kenya (KCB), imechangia sh milioni 48 ili kusomesha wakunga 10 kwa ajili ya kuokoa afya ya mama na mtoto. Uchangiaji huo unakwenda sambamba na mikakati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito

>Mtu anaposema tatizo la kutopata ujauzito, ana maana mume na mke walio katika uhusiano wa kutafuta mtoto ndani ya mwaka mmoja, lakini wameshindwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani