“Pampu za solar; ufunguo wa tatizo la ukosefu wa maji”
Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimuelezea Mr. Nehemia Mchechu Director General wa NHC jinsi pampu ya maji aina ya Lorenzo inavofanya kazi. Pampu hii ya Lorenzo inayoendeshwa kwa kutumia mionzi ya jua ni nzuri kwa watanzania wengi kutokana na urahisi wa gharama za uendeshaji maana haitumii mafuta wala umeme, urahisi wa matengenezo na mengine mengi.
Mkurugenzi mtendaji wa Davis & Shirtliff Bw. Benjamin Munyao akimkabidhi zawadi Mr. Nehemia Mchechu Director...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Prof. Jumanne Maghembe: Serikali imevalia njuga tatizo la ukosefu wa maji nchini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mwanga na Waziri wa Maji Mh. Prof. Jumanne Maghembe mara baada ya kuwasili katika kata ya Kileo jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro wakati alipoanza ziara ya kikazi ya jimboni humo akikagua na kuhimiza ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa CCM.
Akizungumzia tatizo la maji nchini kwa ujumla Prof....
9 years ago
Michuzi23 Dec
MAJALIWA AKABIDHI MSAADA WA PIKIPIKI NA PAMPU ZA MAJI
![pu3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pu3.jpg)
![pu4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pu4.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Apr
Ukosefu wa sarafu moja EAC tatizo kiuchumi
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa matumizi ya sarafu moja katika soko la pamoja la Afrika Mashariki kumeleta athari kubwa zitokanazo na matumizi makubwa ya fedha za kigeni katika nchi wanachama wa jumuia hizo.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z-TB7_oAVGE/VdYfki_I71I/AAAAAAAHysQ/uVGUiZZ7COs/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.png)
UHUSIANO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z-TB7_oAVGE/VdYfki_I71I/AAAAAAAHysQ/uVGUiZZ7COs/s640/unnamed%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MoTvhzEjMYs/VazSDAlDqjI/AAAAAAAHqos/hc9SC8RKmlA/s72-c/image1.png)
UHUSIANO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MoTvhzEjMYs/VazSDAlDqjI/AAAAAAAHqos/hc9SC8RKmlA/s640/image1.png)
Unajua ni kwa nini wanaume wenye kisukari wanasumbuliwa pia na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume ?
JIBU NI RAHISI SANA, NALO NI KWA SABABU KUNA UHUSIANO MKUBWA SANA KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmaBFNoqnLU/VAR4RML0gLI/AAAAAAAGZ8Q/AXPnA7sVq3w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
NAIBU WAZIRI MAJI ALIVALIA NJUGA TATIZO LA MAJI CHAKWALE
“Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rJNhjPXCpQ0/VctHosSX1oI/AAAAAAAC9kc/Ax8rUPjkeE4/s72-c/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)
UHUSIANO ULIOPO KATI YA PUNYETO NA TATIZO LA UKOSEFU / UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJNhjPXCpQ0/VctHosSX1oI/AAAAAAAC9kc/Ax8rUPjkeE4/s640/Neema-Herbalistic-Clinic.jpg)