Panya waleta hofu China
Watu wawili wanashikiliwa na Polisi nchini China baada ya kuwafungulia mamia ya Panya katika kijiji kimoja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Nov
Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini
MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Wivu wa mapenzi waleta maafa china
Shao Zongqi, mwenye umri wa miaka 38 alitekelezaa mauaji hayo mwezi January mwaka huu katika mji wa Yunnan,nchini China.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mAHYQtHlLj4SQ0ROS6jZ0c7H9YV7BPyWkHo-KCOtybZIPXyyAzXfeHkgPpQYRle7XaAs62chnre2nfsEjH0rVJtImOOW7qVT/Kamanda_kova.jpg)
PANYA ROAD WALIVYOTIA HOFU WAKAZI DAR
Polisi wa Kanda Maalum ya Polisi ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova. Jana usiku Jiji la Dar es Salaam wakazi wake walijawa na  taharuki, hofu na wasiwasi mkubwa kwa saa mbili baada ya kundi maarufu la waporaji lililojulikana kama  Panya Road, kudaiwa kuvamia mitaa mbalimbali na kupora mali. Taarifa zilizoenezwa na watu wasiojulikana zilidai kuwa  kundi hilo lilikuwa linapora watu katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo...
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani
Majeshi ya China na India yamejikuta katika makabiliano makali kwenye eneo la Himalayas, ambao una uwezo wa kuongezeka zaidi wakati ambapo pande zote mbii zinajitahidi kuendeleza malego yake ya kimkakati.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mamba waleta maafa DRC
Wakaazi wa Kijiji cha Mboko mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo wanakabiliwa na tatizo la mamba anayesumbua usalama wao
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Washambuliaji waleta maafa Lamu
Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al Shabaab wameshambulia eneo la Mpeketoni na kuwaua 48
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
‘Wabeshi’ waleta balaa mgodini
Na Chibura Makorongo, Shinyanga SERIKALI imeombwa kulipatia ufumbuzi tatizo la vijana wanaojiita “wabeshi” wanaovamia mgodi wa almasi wa Williamson Diamonds Ltd ulioko Mwadui, Kishapu mkoani hapa. Vijana hao wamekuwa wakivamia mgodi huo kwa lengo la kupora mchanga wa almasi na kujikuta wakipoteza maisha au kupata vilema vya maisha. Ombi hilo lilitolewa hivi karibuni na wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa Almasi wa Mwadui ambapo walisema kwa kipindi kirefu vijana wengi wanaovamia...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wachina waleta teknolojia mpya
Kampuni ya Tanzania Gypsum Limited ya jijini Dar es Salaam, imeanza kutengeneza gypsum za aina yake zisizoshika maji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania