Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Panya waleta hofu China

Watu wawili wanashikiliwa na Polisi nchini China baada ya kuwafungulia mamia ya Panya katika kijiji kimoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muswada waleta hofu ya wananchi kutiwa kizuizini

MUSWADA wa kuwepo kwa Ofisi ya Tawala za Mikoa umewagawa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambapo baadhi wamepinga wakidai kwamba umetoa mamlaka makubwa kwa wakuu wa mikoa kuwatia kizuizini wananchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wivu wa mapenzi waleta maafa china

Shao Zongqi, mwenye umri wa miaka 38 alitekelezaa mauaji hayo mwezi January mwaka huu katika mji wa Yunnan,nchini China.

 

10 years ago

GPL

PANYA ROAD WALIVYOTIA HOFU WAKAZI DAR

Polisi wa Kanda Maalum ya Polisi ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova. Jana usiku Jiji la Dar es Salaam wakazi wake walijawa na  taharuki, hofu na wasiwasi mkubwa kwa saa mbili baada ya kundi maarufu la waporaji lililojulikana kama  Panya Road, kudaiwa kuvamia mitaa mbalimbali na kupora mali. Taarifa zilizoenezwa na watu wasiojulikana zilidai kuwa  kundi hilo lilikuwa linapora watu katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo...

 

5 years ago

BBCSwahili

China na India: Kwanini hofu imerudi kati ya majeshi ya mataifa haya yenye idadi kubwa ya watu duniani

Majeshi ya China na India yamejikuta katika makabiliano makali kwenye eneo la Himalayas, ambao una uwezo wa kuongezeka zaidi wakati ambapo pande zote mbii zinajitahidi kuendeleza malego yake ya kimkakati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamba waleta maafa DRC

Wakaazi wa Kijiji cha Mboko mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo wanakabiliwa na tatizo la mamba anayesumbua usalama wao

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliaji waleta maafa Lamu

Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al Shabaab wameshambulia eneo la Mpeketoni na kuwaua 48

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

‘Wabeshi’ waleta balaa mgodini



Na Chibura Makorongo, Shinyanga SERIKALI imeombwa kulipatia ufumbuzi tatizo la vijana wanaojiita “wabeshi” wanaovamia mgodi wa almasi wa Williamson Diamonds Ltd ulioko Mwadui, Kishapu mkoani hapa. Vijana hao wamekuwa wakivamia mgodi huo kwa lengo la kupora mchanga wa almasi na kujikuta wakipoteza maisha au kupata vilema vya maisha. Ombi hilo lilitolewa  hivi karibuni na wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa Almasi wa Mwadui ambapo walisema kwa kipindi kirefu vijana wengi wanaovamia...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachina waleta teknolojia mpya

Kampuni ya Tanzania Gypsum Limited ya jijini Dar es Salaam, imeanza kutengeneza gypsum za aina yake zisizoshika maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani