‘Wabeshi’ waleta balaa mgodini
Na Chibura Makorongo, Shinyanga
SERIKALI imeombwa kulipatia ufumbuzi tatizo la vijana wanaojiita “wabeshi” wanaovamia mgodi wa almasi wa Williamson Diamonds Ltd ulioko Mwadui, Kishapu mkoani hapa.
Vijana hao wamekuwa wakivamia mgodi huo kwa lengo la kupora mchanga wa almasi na kujikuta wakipoteza maisha au kupata vilema vya maisha.
Ombi hilo lilitolewa hivi karibuni na wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa Almasi wa Mwadui ambapo walisema kwa kipindi kirefu vijana wengi wanaovamia...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Wachina waleta teknolojia mpya
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mamba waleta maafa DRC
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Panya waleta hofu China
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Washambuliaji waleta maafa Lamu
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Wivu wa mapenzi waleta maafa china
11 years ago
Habarileo28 Jun
Kobe waleta taharuki Dar es Salaam
HALI ya taharuki ilizuka jana katika eneo la Tabata Mawenzi jijini Dar es Salaam baada ya kobe wadogo zaidi ya 300 kuonekana katika maeneo hayo huku wakiwa hawajulikani walipotokea.
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Wizi wa kihistoria waleta aibu Chile
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
WIZI WA KIHISTORIA WALETA AIBUA CHILE