Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAP now sues The Citizen, Mwananchi

Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP) is suing both The Citizen and Mwananchi newspapers, demanding a whopping $5.5 billion as general damages and business losses the company claims it suffered following the series of articles published in March, this year.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mwananchi, The Citizen yang’ara habari za uchaguzi

Magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameendelea kung’ara katika kuandika habari makini zisizo na upendeleo wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25.

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC

 Kulia ni mkurugenzi mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Francis Majige Nanai akijiandaa kutia sani kitabu cha wageni kushoto ni mhariri mkuu wa magazeti hayo Bwn. Bakari machumu siku ya Jumamtano June 3, 2015 walipotembelea Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchin Marekani. Mhariri mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Bakari Machumu akitia saini kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani. Mkurugenzi wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn....

 

10 years ago

Bank Official Over Land Ownership

MP Rwakatare sues ex


MP Rwakatare sues ex-bank official over land ownership
Daily News
THE Managing Director of St Mary's Junior School Limited, Rev Dr Getrude Rwakatare, has sued the ex-Managing Director of Exim Bank Tanzania Limited, Sabetha Mwambeja, over ownership of New Palm Tree Village Beach Resort and demands 14bn/- ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IPTL/PAP yawaonya wanasiasa

KAMPUNI ya IPTL/PAP imewataka wanasiasa kutambua kwamba kampuni hiyo sio mali ya serikali, bali inazalisha na kuuza umeme. Imesema kuendelea kujadili masuala ya ndani ya uendeshaji ikiwemo namna ya kuzalisha...

 

10 years ago

Counsel

Kikwete family has no stake in PAP


Kikwete family has no stake in PAP - counsel
Daily News
PAN Africa Power Solutions Limited (PAP), the owner of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), has strongly refuted claims circulating in the social media that the company is linked to the family of President Jakaya Kikwete. A statement issued to the ...

 

10 years ago

Habarileo

‘PAP haina uhusiano na familia ya JK’

KAMPUNI ya PanAfrica Power Resources (PAP) imekanusha umiliki wake kuwa na uhusiano na familia ya Rais Jakaya Kikwete kama ilivyovumishwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.

 

11 years ago

AllAfrica.Com

MP Lembeli Sues Eight for Defamation


IPPmedia
MP Lembeli Sues Eight for Defamation
AllAfrica.com
KAHAMA Member of Parliament (MP), James Lembeli has sued nine people, including Reverend Joseph Petro, over alleged defamatory articles that linked him with the transfer of the management of Katavi National Park from the Tanzania National Park ...
Electronic fee collection to be reintroduced at national parksIPPmedia

all 3

 

11 years ago

Daily News

MP Lembeli sues 8 for defamation


Daily News
MP Lembeli sues 8 for defamation
Daily News
KAHAMA Member of Parliament (MP), James Lembeli has sued nine people, including Reverend Joseph Petro, over alleged defamatory articles that linked him with the transfer of the management of Katavi National Park from the Tanzania National Park ...
Electronic fee collection to be reintroduced at national parksIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Habarileo

IPTL, PAP zapinga Bunge mahakamani

Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan AfricaPower Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi. KAMPUNI za Pan Africa Power Solution Tanzania Limited (PAP) na Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Harbinder Singh Sethi, wamefungua kesi ya kikatiba kupinga utekelezaji wa maazimio ya Bunge yaliyotolewa kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), inayodaiwa kuchotwa zaidi ya Sh bilioni 300.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani