Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwananchi, The Citizen yang’ara habari za uchaguzi

Magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameendelea kung’ara katika kuandika habari makini zisizo na upendeleo wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

PAP now sues The Citizen, Mwananchi

Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP) is suing both The Citizen and Mwananchi newspapers, demanding a whopping $5.5 billion as general damages and business losses the company claims it suffered following the series of articles published in March, this year.

 

10 years ago

Vijimambo

MKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC

 Kulia ni mkurugenzi mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Francis Majige Nanai akijiandaa kutia sani kitabu cha wageni kushoto ni mhariri mkuu wa magazeti hayo Bwn. Bakari machumu siku ya Jumamtano June 3, 2015 walipotembelea Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchin Marekani. Mhariri mkuu wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn. Bakari Machumu akitia saini kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani. Mkurugenzi wa magazeti ya Mwananchi na Citizen Bwn....

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yang’ara Chalinze

MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara mpango wa UN

TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Kenya yang’ara , yaaibika China

Licha ya kuongoza kwenye idadi ya medali kwenye mashindano ya ubingwa wa  dunia wa riadha yanayoendelea China, Kenya imepata aibu nyingine baada ya wanariadha wake wawili kufungiwa kwa madai ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ya misuli.

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL yang’ara Afrika Mashariki

iptl

-Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

-Kafulila aumbuka

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika kusambaza nishati ya  umeme.

Hatua hiyo inasababishwa na serikali ya Kenya kuipatia barua kampuni hiyo ya kufanya nao kazi ya usambazaji umeme katika mradi unaohusisha nchi mbili za jumuia hiyo, ambazo ni  Tanzania na Kenya.

Barua ya Kenya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL yang’ara tuzo za rais

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa mshindi wa tuzo mbili za rais zilizoandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI). Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Dar es Salaam mwishoni mwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yang’ara, mbinu zaiangusha

Taifa Stars ya Tanzania jana ilipata pointi ya kwanza kwenye safari ya kuelekea fainali za Afrika mwaka 2017 nchini Gabon baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Super Eagles ya Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani