Papa Francis kumbariki askofu Romero
Papa Francis ameondoa vikwazo dhidi ya kumbariki askofu Oscar Romero wa Salvado.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3FgczWesVpE/VlcSvF4-5MI/AAAAAAAIIgE/oVXLHzG8drE/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Tabora Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-3FgczWesVpE/VlcSvF4-5MI/AAAAAAAIIgE/oVXLHzG8drE/s640/6.jpg)
Askofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.
Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.
Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s72-c/6.jpg)
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashama Paulo Ruzoka Kuongoza ujumbe wa Tanzania kumuona Papa Francis Uganda
![](http://1.bp.blogspot.com/-9b9MQ9l_JvY/VlcTdAwuRuI/AAAAAAAIIgM/p1kjNK-O2-8/s640/6.jpg)
Na Joseph Ishengoma, MAELEZOAskofu Mkuu wa jimbo kuu la Tabora Mhashamu Paulo Ruzoka (pichani) kesho (tarehe 27.11.2015) anatarajia kuongoza ujumbe wa Tanzania kwenye ziara ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francis nchini Uganda.Baba Mtakatifu Francis anatarajia kuwasili nchini Uganda kesho kwa ziara ya siku mbili akitokea Kenya kabla ya kuelekea Afrika ya Kati.Hii ni ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani kutembelea Bara la Afrika tangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
Rais wa Marekani ,Barrack Obama anatarajiwa kukutana na kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ameunga mkono haki ya wazazi kuchagua ukubwa wa familia zao.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ametimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo.
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis
Papa Francis anatarajiwa kuanza ziara yake ya kwanza kabisa barani Afrika Jumatano Novemba 25.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
Serikali ya Kenya imethibitisha kukamilika kwa maandalizi ya kumpokea kiongozi wa kanisa katoliki papa Francis.
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Papa Francis atoa Mpya
Makasisi wa kanisa katoliki wanaangazia mafunzo ya familia, na kutoa wito wa kuwachukulia wenye mapenzi ya jinsia moja kwa usawa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania