PELE NAENDELEA VIZURI
Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi akiwa na maambukizi ya eneo la kupitisha mkojo mapema wiki hii.
Habari hizo zinajiri baada ya gwiji huyo wa soka kusema katika mtandao wa twitter kwamba anaendelea kupata afueni katika hospitali moja ya Albert Einstein iliopo mjini Sao Paulo.
Hatahivyo msaidizi wa mzee huyo mwenye umri wa miaka 74, Jose Fornos alipuuzia habari hizo.Lakini hospitali hiyo imesema kuwa Pele...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Jul
Riyama:Naendelea Vizuri
Alhamdulilah sijambo kiasi na mshukuru MUNGU NINA MALARIA WADUDU WAWILI na tumbo la chango chamoto nimekiona kwa muda mfupi tu waungwana wangu mwenye dawa nzuri ya tumbo la chango tusaidiane dah nimebebwa wallah nguvu zote kwisha asante sana kwa familia yangu na kwa mume Wangu mtarajiwa @leomysteriotz pia shukran kwa Mikumihospital Mungu awajazekheri ishalah Amin duwa zenu vipenzi vyangu
Riyama Ally on instagram
9 years ago
Bongo508 Dec
Music: Baby Boy Ft Mr Blue – Naendelea
![Baby Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Baby-Boy-300x194.png)
Msanii Baby Boy baada ya kuwa kimya kwa mda ameachia wimbo mpya unaitwa “Naendelea”, Amemshirikisha Mr Blue. Studio Kiri Records.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo Movies08 Dec
LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela
Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii
“Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”
Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...
11 years ago
TheCitizen23 Jun
Where’s Pele? ‘The King’ shunned
10 years ago
BBCSwahili08 May
Pele afanyiwa upasuaji
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-20uBx5hJk9c/VEkk6BrWyWI/AAAAAAAA-jI/IWHiWyXRWHw/s72-c/1925198_808985839181114_1633834601507210298_n.jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Afya ya Pele yaimarika
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_ZcBdxrwqto/VWV99TVudGI/AAAAAAAHaD0/0xLwQT8PzgU/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Mwandosya akutana na Pele
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ZcBdxrwqto/VWV99TVudGI/AAAAAAAHaD0/0xLwQT8PzgU/s640/unnamed.jpg)
Pelé aliichezea timu yake klabu ya Santos, Brazil kuanzia mwaka 1956 mpaka mwaka 1974.Baada ya kustaafu alijiunga na klabu ya New York ...
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mwanawe Pele jela miaka 33