Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PELE NAENDELEA VIZURI

Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi akiwa na maambukizi ya eneo la kupitisha mkojo mapema wiki hii.

Habari hizo zinajiri baada ya gwiji huyo wa soka kusema katika mtandao wa twitter kwamba anaendelea kupata afueni katika hospitali moja ya Albert Einstein iliopo mjini Sao Paulo.

Hatahivyo msaidizi wa mzee huyo mwenye umri wa miaka 74, Jose Fornos alipuuzia habari hizo.Lakini hospitali hiyo imesema kuwa Pele...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Riyama:Naendelea Vizuri

Alhamdulilah sijambo kiasi na mshukuru MUNGU NINA MALARIA WADUDU WAWILI na tumbo la chango chamoto nimekiona kwa muda mfupi tu waungwana wangu mwenye dawa nzuri ya tumbo la chango tusaidiane dah nimebebwa wallah nguvu zote kwisha asante sana kwa familia yangu na kwa mume Wangu mtarajiwa @leomysteriotz pia shukran kwa Mikumihospital Mungu awajazekheri ishalah Amin duwa zenu vipenzi vyangu

Riyama Ally on instagram

 

9 years ago

Bongo5

Music: Baby Boy Ft Mr Blue – Naendelea

Baby Boy

Msanii Baby Boy baada ya kuwa kimya kwa mda ameachia wimbo mpya unaitwa “Naendelea”, Amemshirikisha Mr Blue. Studio Kiri Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela

Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”

Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...

 

11 years ago

TheCitizen

Where’s Pele? ‘The King’ shunned

He’s ‘the king’, renowned as football’s greatest ever and the icon of Brazilian World Cup success. But with the tournament finally back in his home country, it seems somebody forgot to invite Pele.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pele afanyiwa upasuaji

Aliyekuwa nyota wa timu ya taifa ya Brazil Pele amefanyiwa upasuaji wa kibofu cha mkojo katika hospitali moja mjini Sao Paulo.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Afya ya Pele yaimarika

Hali ya afya ya gwiji wa soka duniani Pele imemarika baada ya kutoka kwenye hali mahututi.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Mwandosya akutana na Pele


Akiwa njiani kwenda Hanoi, Vietnam, Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais ( Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya, amekutana na  Edson Arantes do Nascimento (Pelé) mwanamichezo maarufu sana duniani. Pelé atatimiza umri wa miaka 75 ifikapo tarahe 23 Oktoba,2015. Katika uhai wake, Pelé aliweza kuingiza magoli 1283 katika michezo ya ushindani wa mpira wa miguu. 
Pelé aliichezea timu yake klabu ya Santos, Brazil kuanzia mwaka 1956 mpaka mwaka 1974.Baada ya kustaafu alijiunga na klabu ya New York ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Pele jela miaka 33

Mwanawe gwiji wa soka Pele, amefungwa jela miaka 33 kwa ulanguzi wa dawa za kulevya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani