Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riyama:Naendelea Vizuri

Alhamdulilah sijambo kiasi na mshukuru MUNGU NINA MALARIA WADUDU WAWILI na tumbo la chango chamoto nimekiona kwa muda mfupi tu waungwana wangu mwenye dawa nzuri ya tumbo la chango tusaidiane dah nimebebwa wallah nguvu zote kwisha asante sana kwa familia yangu na kwa mume Wangu mtarajiwa @leomysteriotz pia shukran kwa Mikumihospital Mungu awajazekheri ishalah Amin duwa zenu vipenzi vyangu

Riyama Ally on instagram

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PELE NAENDELEA VIZURI

Mchezaji wa zamani wa timu ya Brazil Pele anendelea kupata afueni lakini bado amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi akiwa na maambukizi ya eneo la kupitisha mkojo mapema wiki hii.

Habari hizo zinajiri baada ya gwiji huyo wa soka kusema katika mtandao wa twitter kwamba anaendelea kupata afueni katika hospitali moja ya Albert Einstein iliopo mjini Sao Paulo.

Hatahivyo msaidizi wa mzee huyo mwenye umri wa miaka 74, Jose Fornos alipuuzia habari hizo.Lakini hospitali hiyo imesema kuwa Pele...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Baby Boy Ft Mr Blue – Naendelea

Baby Boy

Msanii Baby Boy baada ya kuwa kimya kwa mda ameachia wimbo mpya unaitwa “Naendelea”, Amemshirikisha Mr Blue. Studio Kiri Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU: Bata la Watu Wa Bukoba Ni Noumer…Naendelea Kuoga Hela

Mwigizaji wa filamu,mrembo na mwenye mvuto wa kufanya wengi wapagawe, Elizabeth Michael aka Lulu ambae kwasasa yupo Mjini Bukoba kwa mapumziko mafupi. Akiwa katika viwanja vya kula bata mjini hapo Lulu hakusita kuwasifia watu wa kabira la Wahaya kwa njinsi alivyo furahia GOOD TIME alilopewa na kumfanya afunguke mwenyewe kwenye mitandao ya kijamii

 “Wahaya noma......
Hili Bata la Watu wa Bukoba ni Noumer...! likizo isiishe jamani”

Haikuishiahapo, alitupia picha nyingi mtandaoni akiwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Nasaha za Riyama

Msanii nyota wa kike wa filamu , Riyama Ally ametaka wasanii wachanga kutoridhika na mafanikio  madogo wanayoyapata pindi wanapofanikiwa ‘kutoka’ katika fani hiyo.

Akizungumza na NIPASHE, Riyama alisema wasanii wanatakiwa kutoridhika tu na pato la uigizaji, bali pia wajikite katika kutafuta uwezekano wa kuwa pia watayarishaji  wa filamu. Riyama alikuwa akizungumza juu ya fialamu yake mpya ya ‘Sharo Doma’.

Chanzo:Nipashe  

 

9 years ago

GPL

RIYAMA LAIVU!

KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika. Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally akiwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake. ‘Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda...

 

10 years ago

Mtanzania

Waigizaji wamuudhi Riyama

RiyamaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea.
“Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu...

 

9 years ago

GPL

RIYAMA KUWASAKA WANAOMTUMIA

Msanii wa filamu Bongo Riyama Ally. MAYASA MARIWATA MSANII wa filamu Bongo Riyama Ally amesema baadhi ya wasanii wanaomhitaji na kucheza nao filamu, huuza baadhi ya vipande vya filamu anazocheza bila idhini yake, jambo alilodai hakubali kwani atawasaka na kuwashikisha adabu. Akizungumza na mwandishi wetu, alisema baadhi ya watu wamekuwa wakitumia kava lenye picha yake kuuza filamu ambazo anakuwa hajacheza, isipokuwa...

 

10 years ago

GPL

FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!

Nyota wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank. Stori: Hamida Hassan na Shani Ramadhani
NYOTA wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa msanii mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea. Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika...

 

9 years ago

Bongo Movies

Riyama Anaswa Laivu!

KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika.

Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa watafunga ndoa, kwani anampenda kwa dhati mpenziwe huyo, aliyesema ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, akifanya Hip Hop.

“Yeah,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani