Waigizaji wamuudhi Riyama
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea.
“Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Riyama; Waigizaji 'Bongo Movie' hawapendani.
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea. “Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu anayemkosea ili kujenga ukaribu na...
11 years ago
BBCSwahili20 May
City wamuudhi Toure
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Waigizaji vaeni uhalisia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d12ugjGGyGtr1TL9wu71oa2BypsgO7VmGNGmT3N*e2Ld62vHsAc3PALbUHHO-J4nZRuGsHMbXJeLLeJBEkW2DS6/masupastaa.jpg?width=650)
WAPO MASUPASTAA, MASTAA NA WAIGIZAJI
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Wasanii na waigizaji wanavyopotosha Kiswahili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv9e3KIbYgwHuEpm6qgN9N6nxSGvHXuJO2pOuOd8iW565DoJEshFa6hvbA3P7yYsCBOPof0nTLdUXIIXShKjqigT/Top10.jpg)
TOP 10 YA WAIGIZAJI WA KIKE WENYE MVUTO AFRIKA!
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
JB Ataja Waigizaji Ambao Anavutiwa Kuigiza Nao
“Leo nimejisikia kuwataja waigizaji ambao navutiwa kuigiza nao.naanza na wakina mama huyu (Bi Hindu) kwangu ni namba moja. Ana heshima na mbunifu. sana ingawa Bi Mwenda na mama Tecla Mjata nao wako moyoni mwangu”-JB aliandika haya mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Bi Hindu.
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
JB Kuja na Tamthilia,Usaili Utafanyika Kuwapata Waigizaji
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye ana mailiki kampuni ya utayarishaji wa filamu, Jerusalem Films amesema kwa kwasasa wapo kwenye utarayishaji wa awali wa tamthilia ambayo itaanza hivi karibuni na kuwatakka watu wote ambao mara nyingi wamekuwa wakimtumia ujumbe kuwa wanataka kuigiza wasubiri na mambo ya kikamilika atawaita kwenye usaili.
Kila siku napokea simu zaidi ya 50 na sms nyingi mno kwenye simu ,fb, na hata hapa insta agenda ni...
10 years ago
Bongo Movies24 Jan
Davina Akiri Kuwa Waigizaji Wengi wa Kike Wanajiuza!!!
Muigizaji mkongwe wa filamu na moja kati ya waasisi wa Kaone Sanaa Group, Halima Yahya ‘Davina’ amekiri kuwa ndani ya tasnia yao, kuna waigizaji wengi wa kike wanajiuza kwa maslahi yao binafsi.
Akipiga stori na paparazi wa GPL, Davina alisema wasanii wanaofanya hivyo ni wale wasio na nia ya dhati, wapo kwenye tasnia kwa ajili ya kuuza sura na kujinadi kwa mapedeshee.
“Tatizo ni kwamba wasanii tumekutana kila mmoja ana tabia zake na ni ngumu kujua undani wa mtu kwa kumtazama mara moja,...