Wasanii na waigizaji wanavyopotosha Kiswahili
Katika makala zilizopita kuhusu makosa katika magazeti, nilieleza juu ya makosa yanayojitokeza mara kwa mara katika vyombo vya habari kama redio, runinga na magazeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Waigizaji wamuudhi Riyama
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea.
“Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Waigizaji vaeni uhalisia
11 years ago
Michuzi17 May
CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
![](https://3.bp.blogspot.com/-DjAqPB6POFI/U3dgBR2MovI/AAAAAAABoNI/xWtWqCobeG8/s640/IMG_0987.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-oUwZr4WMSkQ/U3dflJ5J2XI/AAAAAAABoMo/V-8dVuzJfLw/s640/IMG_0989.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-uY1rc3qzWko/U3dgdSdAufI/AAAAAAABoNY/xcZMTNmPxF4/s640/IMG_0995.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-LbfTmwZVtS8/U3dg6QxE1tI/AAAAAAABoN4/WHF3kALUvEU/s640/IMG_1000.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-6tTe8omDQNY/U3dg2SD1q9I/AAAAAAABoNs/qnamPZ5O7eM/s640/IMG_1001.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d12ugjGGyGtr1TL9wu71oa2BypsgO7VmGNGmT3N*e2Ld62vHsAc3PALbUHHO-J4nZRuGsHMbXJeLLeJBEkW2DS6/masupastaa.jpg?width=650)
WAPO MASUPASTAA, MASTAA NA WAIGIZAJI
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Riyama; Waigizaji 'Bongo Movie' hawapendani.
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea. “Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu anayemkosea ili kujenga ukaribu na...
10 years ago
Bongo Movies22 Jul
JB Kuja na Tamthilia,Usaili Utafanyika Kuwapata Waigizaji
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye ana mailiki kampuni ya utayarishaji wa filamu, Jerusalem Films amesema kwa kwasasa wapo kwenye utarayishaji wa awali wa tamthilia ambayo itaanza hivi karibuni na kuwatakka watu wote ambao mara nyingi wamekuwa wakimtumia ujumbe kuwa wanataka kuigiza wasubiri na mambo ya kikamilika atawaita kwenye usaili.
Kila siku napokea simu zaidi ya 50 na sms nyingi mno kwenye simu ,fb, na hata hapa insta agenda ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv9e3KIbYgwHuEpm6qgN9N6nxSGvHXuJO2pOuOd8iW565DoJEshFa6hvbA3P7yYsCBOPof0nTLdUXIIXShKjqigT/Top10.jpg)
TOP 10 YA WAIGIZAJI WA KIKE WENYE MVUTO AFRIKA!