WAPO MASUPASTAA, MASTAA NA WAIGIZAJI
![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d12ugjGGyGtr1TL9wu71oa2BypsgO7VmGNGmT3N*e2Ld62vHsAc3PALbUHHO-J4nZRuGsHMbXJeLLeJBEkW2DS6/masupastaa.jpg?width=650)
MASTAA na waigizaji MAKALA: Gladness Mallya NITAELEWEKA tu! Sina ubishi kwamba kwa sasa Bongo, fani ya sanaa ya uigizaji ndiyo imeshika kasi kukubalika katika jamii (anayebisha anyooshe mkono, najua hakuna). Elizabeth Michael 'Lulu'. Siku hizi ukikatisha kwenye mitaa mbalimbali nchini Tanzania, hasa uswahilini, utagundua wengi wanaangalia ‘filamu za akina Kanumba’ kama vile Uncle JJ, Ndoa Yangu, Mr. Ben, World...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
TACAIDS yadai mastaa wapo kwenye hatari zaidi ya kuathirika na virusi vya Ukimwi (Video)
![Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mwenyekiti-wa-Tume-ya-Kudhibiti-Ukimwi-TACAIDS-Dr.-Fatma-Mrisho-300x194.jpg)
Wakati dunia leo inaadhimisha siku ya Ukimwi duniani, December 1, Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini, (TACAIDS) imesema watu maarufu wakiwemo wasanii ni watu walio kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na ushawishi wao na hivyo wanatakiwa kupewa elimu.
Mwenyekiti wa TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho
Akizungumza na taasisi ya Global Shapers Community Dar es Salaam, Mwenyekiti TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, alisema ushawishi wa wasanii hao unawafanya watamaniwe na watu...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DTEhRAn2PM/U8bntBMMmJI/AAAAAAAClk0/NdjgBcY5dbw/s72-c/13.jpg)
THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINAH,AZINDUA VIDEO MPYA MBELE YA MASUPASTAA KIBAO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DTEhRAn2PM/U8bntBMMmJI/AAAAAAAClk0/NdjgBcY5dbw/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LGuH7vxjOkM/U8bn2HBso9I/AAAAAAACllc/OgPLiPnj1d4/s1600/18.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Waigizaji vaeni uhalisia
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Waigizaji wamuudhi Riyama
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea.
“Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Wasanii na waigizaji wanavyopotosha Kiswahili
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Riyama; Waigizaji 'Bongo Movie' hawapendani.
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea. “Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu anayemkosea ili kujenga ukaribu na...
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
JB Ataja Waigizaji Ambao Anavutiwa Kuigiza Nao
“Leo nimejisikia kuwataja waigizaji ambao navutiwa kuigiza nao.naanza na wakina mama huyu (Bi Hindu) kwangu ni namba moja. Ana heshima na mbunifu. sana ingawa Bi Mwenda na mama Tecla Mjata nao wako moyoni mwangu”-JB aliandika haya mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa na Bi Hindu.