Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB Kuja na Tamthilia,Usaili Utafanyika Kuwapata Waigizaji

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye ana mailiki kampuni ya utayarishaji wa filamu, Jerusalem Films  amesema kwa kwasasa wapo kwenye utarayishaji wa awali wa tamthilia ambayo itaanza hivi karibuni na kuwatakka watu wote ambao mara nyingi wamekuwa wakimtumia ujumbe kuwa wanataka kuigiza wasubiri  na mambo ya kikamilika atawaita kwenye usaili.

Kila siku napokea simu zaidi ya 50 na sms nyingi mno kwenye simu ,fb, na hata hapa insta agenda ni...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:''Uchaguzi utafanyika Jumatatu''

Balozi wa Burundi katika umoja wa mataifa amekariri kuwa uchaguzi utaendelea mbele Jumatatu licha ya shinikizo uahirishwe

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi 2015 utafanyika kwa sheria ipi?

SERIKALI, imewasilisha miswada 33 itakayokwenda kutungiwa sheria katika mkutano wa Bunge unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao, lakini kati ya hiyo hakuna hata mmoja unaozungumzia sheria ya uchaguzi. Mwenyekiti wa Kamati...

 

11 years ago

GPL

MCHAKATO WA KUWAPATA WASHINDI KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAENDELEA

Kampuni ya TBL leo imekutana na wanahabari kuzungumzia mwenendo wa mchakato wa kuwapata washindi wa vipengele vya tuzo za Tanzania - Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA).
(VIDEO: PATRICK BUZOHERA / GLOBAL TV…

 

11 years ago

Michuzi

TBC yaanza mchakato wa kuwapata washindi watano wa kwenda kuangalia michezo ya Kombe la Dunia nchini Brazil

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Clement Mshana akiwaeleza waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam kuhusu mchakato wa kuwapata washindi watano watakaokwenda kuangalia michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil kupitia promosheni ya Kwea Pipa inayoendeshwa na TBC kwa kushirikiana na makampuni ya Push Mobile Media Ltd na Star Times Ltd. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu Masoko na Mauzo kutoka Star Times Jack Zhou na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Push Mobile Media...

 

10 years ago

Mwananchi

Waigizaji vaeni uhalisia

Ni wazi kuwa kila moja wetu anatamani kuburudika bila kujali ni aina gani ya burudani anayotaka.

 

10 years ago

Mtanzania

Waigizaji wamuudhi Riyama

RiyamaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Riyama Ally ‘Riyama’, amesema anachukizwa na vitendo vya waigizaji kushindwa kuonyeshana upendo wa kweli.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Riyama alisema mara nyingi amekuwa akijaribu kuonyesha upendo kwa kila msanii hata kama amemkosea.
“Ninachukizwa sana na waigizaji ambao unakuta wanagombana na kushindwa kusameheana kwa vitu vidogo,” alisema Riyama.
Alisema upande wake amekuwa muwazi na kupenda kumueleza ukweli mtu...

 

11 years ago

GPL

WAPO MASUPASTAA, MASTAA NA WAIGIZAJI

MASTAA na waigizaji
MAKALA: Gladness Mallya
NITAELEWEKA tu! Sina ubishi kwamba kwa sasa Bongo, fani ya sanaa ya uigizaji ndiyo imeshika kasi kukubalika katika jamii (anayebisha anyooshe mkono, najua hakuna). Elizabeth Michael 'Lulu'. Siku hizi ukikatisha kwenye mitaa mbalimbali nchini Tanzania, hasa uswahilini, utagundua wengi wanaangalia ‘filamu za akina Kanumba’ kama vile Uncle JJ, Ndoa Yangu, Mr. Ben, World...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani