Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi:''Uchaguzi utafanyika Jumatatu''

Balozi wa Burundi katika umoja wa mataifa amekariri kuwa uchaguzi utaendelea mbele Jumatatu licha ya shinikizo uahirishwe

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi 2015 utafanyika kwa sheria ipi?

SERIKALI, imewasilisha miswada 33 itakayokwenda kutungiwa sheria katika mkutano wa Bunge unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao, lakini kati ya hiyo hakuna hata mmoja unaozungumzia sheria ya uchaguzi. Mwenyekiti wa Kamati...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?

Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Kuja na Tamthilia,Usaili Utafanyika Kuwapata Waigizaji

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, staa mkongwe wa Bongo Movies ambaye ana mailiki kampuni ya utayarishaji wa filamu, Jerusalem Films  amesema kwa kwasasa wapo kwenye utarayishaji wa awali wa tamthilia ambayo itaanza hivi karibuni na kuwatakka watu wote ambao mara nyingi wamekuwa wakimtumia ujumbe kuwa wanataka kuigiza wasubiri  na mambo ya kikamilika atawaita kwenye usaili.

Kila siku napokea simu zaidi ya 50 na sms nyingi mno kwenye simu ,fb, na hata hapa insta agenda ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi itaahirisha uchaguzi?

Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa Rais Pierre Nkurunziza kuhusu kutekeleza ushauri wa jumuia ya kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Uchaguzi wa urais umeanza

Baada ya ghasia na maandamano ya miezi kadhaa, hatimaye raia nchini Burundi sasa wamefika katika vituo vya kupiga kura ili kumchagua rais wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:AU huenda isishiriki uchaguzi

Siku moja tu kabla ya uchaguzi wa Urais kufanyika nchini Burundi,wachunguzi wa kimataifa, Waangalizi wa umoja wa Afrika huenda wasishiriki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani