Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi 2015 utafanyika kwa sheria ipi?

SERIKALI, imewasilisha miswada 33 itakayokwenda kutungiwa sheria katika mkutano wa Bunge unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao, lakini kati ya hiyo hakuna hata mmoja unaozungumzia sheria ya uchaguzi. Mwenyekiti wa Kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:''Uchaguzi utafanyika Jumatatu''

Balozi wa Burundi katika umoja wa mataifa amekariri kuwa uchaguzi utaendelea mbele Jumatatu licha ya shinikizo uahirishwe

 

10 years ago

Mwananchi

SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi

>Serikali inakusanya nguvu kuhakikisha Sheria ya Gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010, inang’ata wagombea wote watakaojihusisha na rushwa katika harakati zao za kusaka uongozi.

 

9 years ago

StarTV

Sekta binafsi Yalilia Uchaguzi wa Amani kwa kuzingatia sheria za nchi

Taasisi ya Sekta binafsi imewasisitiza wananchi kuzingatia sheria za uchaguzi zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC ili uchaguzi ufanyike kwa amani na kuepuka kuingia kwenye machafuko ya kisiasa.

Mkurugenzi wa Sekta Binafsi Godfrey Simbeye amesema mbali na sababu nyingine za kiuchumi amani iliyopo Tanzania ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kuvutia wawekezaji na kukua kwa uchumi wa nchi mpaka kufikia asilimia Saba.

Simbeye amesema baadhi ya nchi za...

 

10 years ago

Vijimambo

TCRA YAENDESHA SEMINA KWA BLOGGERS KUHUSIANA NA SHERIA ZA UCHAGUZI NCHINI

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Prof John Nkoma akijibu maswali ya wanablog wakati wa Mkutano na bloggers juu ya kuelimishwa juu ya sheria za uchaguziMkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Prof John Nkoma akizungumza na wamiliki wa mitandao ya kijamii (Blogs) wakati wa warsha kwa bloggers ambao umefanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam.Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Maelezo, Bw Assah Mwambene akichangia mada wakati wa mkutano...

 

9 years ago

Dewji Blog

MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!

SAM_0040

baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko 

Na.Jumbe Ismailly.

[Ikungi-SINGIDA] Mkuu  wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...

 

9 years ago

StarTV

Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.

Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.

Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.

 Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa        Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU WAPIGA KURA RASMI KWA MFUMO WA BVR MKOANI KAGERA KUANA KESHO MEI 21, 2015 HADI JUNI 18, 2015


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuzindua rasmi uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa (Biometric Voters Registration BVR) mkoani Kagera katika Manispaa ya Bukoba kesho tarehe 21/05/2015 kuanzia asubuhi saa mbili. Zoezi la uzinduzi litaongozwa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Mhe. John Mongella katika mtaa wa Pwani eneo la uwanja wa ndege wa Bukoba kata ya Miembeni Manispaa ya Bukoba. Uzinduzi huo utafanyika katika Halmashauri zote za wilaya siku hiyo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani