Burundi:AU huenda isishiriki uchaguzi
Siku moja tu kabla ya uchaguzi wa Urais kufanyika nchini Burundi,wachunguzi wa kimataifa, Waangalizi wa umoja wa Afrika huenda wasishiriki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi itaahirisha uchaguzi?
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa Rais Pierre Nkurunziza kuhusu kutekeleza ushauri wa jumuia ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Burundi kuendelea na ratiba ya uchaguzi
Serikali ya Burundi imesema haitashiriki mazungumzo yaliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa kumaliza uhasama wa kisiasa
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
AU yajiweka kando uchaguzi wa Burundi
Umoja wa Afrika umesema hautapeleka waangalizi wake wa uchaguzi kutokana na uchaguzi huo kukosa sifa
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge
Serikali ya Burundi yaahirisha uchaguzi wa wabunge uliotarajiwa kufanyika Ijumaa wiki hii
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Burundi:Uchaguzi wa urais umeanza
Baada ya ghasia na maandamano ya miezi kadhaa, hatimaye raia nchini Burundi sasa wamefika katika vituo vya kupiga kura ili kumchagua rais wao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania